Kutoka Ijumaa watu wanafanya malipo ya ving'amuzi kwa njia ya M-Pesa lakini hakuna mrejesho wa ujumbe wa kuwa malipo yamefanyika au kutofanyika. Matokeo yake tunakatiwa matangazo na DStv. Ukipiga Customer Care majibu yanatolewa mepesi tu kuwa. Subiri ndani ya masaa 48 na DSTV majibu ya baadhi ya...
Hii barabara ni Km 5 tu kutoka Dodoma Mjini na inaenda katika hospitali kubwa kama DCMC na MVUMI. Imejaa vumbi na mashimo hata barabara za vijijini zina afadhali.
Viongozi wa mtaa, kata mmeshindwa hata kufukia mashimo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Mawaziri Watatu Ndiyo wanapokea simu na nikiwapatia Malalamiko ya Wananchi wanayafanyia Kazi
1.Medadi Kalemani ( Nishati)
2.Kangi Lugola ( Mambo ya Ndani)
3.William Lukuvi( Ardhi)
Na Kidogo wa Maliasili
( Khamisi Kigwangala)
Nayeye kaanza kubadilika anapokea simu...
Hii ni barabara kubwa kutokea eneo la Kilimani hadi hospitali kubwa ya macho, Mvumi Dodoma lakini imejaa vumbi na mashimo . viongozi hamuoni? au mnasubiri mpaka mkulu apite.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.