Hizi tume tunaundiwa ni utapeli katika sura nyingine. Hawa wana tume/kamati wakamatwe kwa kuliibia taifa.
Imagne mtu umemtuma alete mwanga wa tukio halafu anakuja anasema hajapata ushahidi wala haamini kama kifo kilipangwa.
For god's sake watanzania waliwatuma kuleta ukweli sio majibu ya...
siasa za tz ni uharo mtupu.
Hakuna uhuru wa mahakama, uhuru wa raia haupo na watu wanauwawa live na wengine kukatwa mapanga tena wabunge mbele ya polisi. Lema alishapigwa na polisi mpaka kulazwa hii sio njema. Coz what goes around comes around hope ccm watakuwa wastahimilivu zali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.