Wakuu habari za majukumu?
Kwa wale mawakala wenzangu wa huduma za miamala, Nine experience punguzo kubwa la kamisheni kuanzia mwezi uliopita.
Kwakuwa ukiangalia salio katika siku zote kabla ya mwisho wa mwezi, unapooneshwa salio unaoneshwa na kamisheni ambayo unakuwa umepata mpaka muda huo...
Wakuu habari za majukumu?
Kwa wale mawakala wenzangu wa huduma za miamala, Nina experience punguzo kubwa la kamisheni kuanzia mwezi uliopita.
Kwakuwa ukiangalia salio katika siku zote kabla ya mwisho wa mwezi,unapooneshwa salio unaoneshwa na kamisheni ambayo unakuwa umepata mpaka muda huo...
Wakuu, hongereni na majukumu ya ujenzi wa familiya zenu na nchi kwa ujumla.
Mimi ni mjasiriamali mdogo, ninabiashara ndogo eneo la Mbagala. Niliamua kuweka na mifjko hii ya kubebea bidhaa, na ninawauzia watu wenye biashara ndogo ndogo wanaowauzia wateja wao vitu basi wanawauzia na mifuko...
Wakuu, habari ya majukumu wanajukwaa,. Nakuja kwenu,Mimi nina kibanda cha MPESA eneo fulani lenye mzunguko kiasi ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Nilimekuwa nikifanya uwakala wa mitandao ya simu (Tigopesa,Airtel money na M-Pesa), kwa muda wa mwaka mmoja, nikiwa na Lengo la kuongeza uwakala wa...
Wanabodi habari ya majukumu?
Nakuja kwenu kuomba ufafanuzi kwa mwenye kuelewa utaratibu wa Jambo hili.
Mimi ni mwàjira katika sekta binafsi. Kabla ya serikali kuunganisha mifuko ya hifadhi ya jamii nilikuwa mwanachama wa PPF. Baada ya kuunganishwa kwa mifuko tukaelezwa sisi wafanyakazi wa...
Wakuu, heshima kwenu, tafadhali naomba nisaidiwe kujua maeneo ambayo ninawwza kupata vocha za jumla za mitandao ya Tigo na za airtel.
Nilipata za voda zinazouzwa 500 nilipata kwa 450 na zile 1,000 nilipata kwa 950. Changamoto inabaki kwenye vocha za Tigo na Airtel ninazipata kwa 480 na 960.Kwa...
Wanabodi habari ya majukumu!.
Ninakuja kwenu na wazo langu na maombi kadhaa kwenu juu ya wazo hili.
Ninahitaji kufanya kilimo cha Papai katika eneo la Mkuranga.Ninapanga kuanza kilimo hiki kwa kuanza na heka moja kwanza.
Katika kutaka kujifunza nimegundua mambo kadhaa kuhusu kilimo hiki,ikiwa...
Wanajukwaa,Tafadhali mwenye mawasiliano ya Kapunga rice project limited anisaidie,Hawa wanahusika na uzalishaji na kupaki mchele wako kijiji cha Kapunga wilaya ya Mbalali jijini Mbeya.
Nimejitahidi kusearch mawasiliano yao kwenye mtandao nimebahatika kupata namba fulani lakini naona haipatikani...
Wanajukwaa,Tafadhali mwenye mawasiliano ya Kapunga rice project limited anisaidie,Hawa wanausika na izalishaji na kupaki mchele wako kijiji cha Kapunga wilaya ya Mbalali jijini Mbeya.
Nimejitahidi kusearch mawasiliano yako kwenye mtandao nimebahatika kupata namba fulani lakini naona haipatikani...
Wakuu kheri ya X-mass na mwaka mpya!.
Tukiwa katika ukingoni kabisa mwa mwaka huu 2018 na tukiwa tumebakiza siku moja tu kuanza mwaka mpya wa 2019,sote tunapaswa kumshukuru Mwenyezi Mungu.
Nakuja kwenu nikiwa na ombi moja najua JF ni kubwa.Kuna mzungu mmoja anaitwa Bruno,huyu anamashamba...
Wakuu kheri ya X-mass na mwaka mpya!.
Tukiwa katika ukingoni kabisa mwa mwaka huu 2018 na tukiwa tumebakiza siku moja tu kuanza mwaka mpya wa 2019,sote tunapaswa kumshukuru Mwenyezi Mungu.
Nakuja kwenu nikiwa na ombi moja najua JF ni kubwa.Kuna mzungu mmoja anaitwa Bruno,huyu anamashamba...
Heshima kwenu wakuu,Tafadhali naomba kusaidiwa jambo.Ninahitaji kununua TV flat screen yenye bajet ya 1,100,000.
Sasa kuna mdau mmoja aliwahi kuniambia kuwa Zanzibar TV ni bei nafuu zaidi ya Dar.
Mwenyeuzoefu naomba kusaidiwa je ikiwa nikienda kununua Zanzibar hakuna vikwazo vyovyote kuvuka...
Habari za majukumu wadau, Ninavyo vioo viwili vya Accer naviuza. Kimoja kina hitilafu ndogo (kina mstari ndani) lakini kinafanya kazi kama kawaida. Kisicho na hitilafu kabisa nakiuza 120,000 hiki kingine nakiuza 80.
Wakuu,habari ya mapumziko (waliopumzika)habari ya majukumu(wanaoendelea na kazi)?
Mimi ni muajiriwa ninafanya kazi Dar es salaam.Bado sijajijenga sana,ofisi imeamua kuniamishia Dodoma,natafakari namna nitakavyoweza kusafirisha mizigo(vitu vya ndani).vitu nilivyonavyo Kwa haraka haraka ni hivi...
Wakuu,Habari za majukumu?Nahitaji dish haya tuliyokuwa tunatumia kuangalia TV kabla ya kuanza kutumia ving'amuzi.Niko dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya asubuhi wakuu? Nilikuwa napitia mtandao wa Befoward na kuna bei za magari mbalimbali. Kuna gari Toyota Voxy data zake ziko hivi
Year 2004/3
Mileage 79305 km
Vehicle price $455
Save $204 (30 percent)
Tafadhali mwenye ujuzi anisaidie nikitaka kuagiza gari hili nitalipia shilingi ngapi...
Habari wakuu?ninauza bidhaa tajwa hapo.Iko katika hali bora kabisa.Nauza shilingi 50,000.Bidhaa hii dukani inauzwa 75,000 ni kile cha antena.Sababu ya kuuza ni kuwa kwa sasa ving`amuzi lazima ulipie.hata local chanels.Sasa familiya inapenda zaidi azam kwa ajili ya entertainment ninashindwa...
Habari zenu wakuu?Ninauza bidhaa tajwa hapo juu.Iko katika khali nzuri sana,Ninauza shilingi 50,000 ni cha antena.Hiki dukani kinauzwa 75000.Nimefikia uamuzi wa kuuza kwa kuwa ving`amuzi vyote sasa hata local chanel unabidi ulipie na familiya yangu inapenda cha azam kwa sababu ya entertainment...
Wakuu!leo katika gazeti la mwananchi imeandikwa habari ya zitto kutangaza mali zake zote.Habari hii inasomeka kuwa Zito amesema anamiliki jumla ya 18 millioni,nyumba 2 zenye thamani ya shilingi millioni 223,Rand Rover yenye thamani ya 74 milioni,kiwanja na mashamba katika maeneo ya Kigamboni,dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.