Leo tarehe 26 June 2023 tayar baadhi ya mishahara ya watumishi imeshaanza kumiminika.
Ila mkulima wa ufuta aliepeleka mazao ghalani tangia mwezi uliopita kwa mtwara na Lindi hawajaingiziwa pesa zao.
Imempasa mkulima kuuza ufuta wake Kwa cash kwa walanguzi.
Mkulima wa ufuta inabidi akope ili...
Kuna mambo nafikiria ikiwa kweli usalama wa Taifa ni wazalaendo wa Tanzania.
Je Usalama wa Taifa hawawezi kudhibiti ufisadi unaofanyika? au na wao wanashiriki?
Je usalama wa taifa hawawezi kuithibiti serikali ikiwa inakwenda kinyume na maadili ya kazi yake au wao ndio serikali
Je usalama wa...
Najiuliza kwanini vyombo vya habari vya Tanzania vinashindwa kuripoti na kufichua uovu wa Serikali ya Tanzania
Kuna Matatizo mengi kama Umeme, Maji, Usalama wa Raia, Huduma mbovu ya Fya, Mfumo mbovu wa elimu, Ufisadi kwanini hawayasemi na kutakemea inamaana hayapo?
Ni dhahiri kua wanaogopa...
Ikiwa kama mwananchi napendekeza serikali kulitoa shirika la Tanesco kwa wawekezaji sababu imeshindwa kusimamia upatikanaji wa umeme wa uhakika. Umeme kwetu unakatika si chini ya mara 8 kwa siku moja na zaidi mida ya usiku.
Yani nimekaa kwangu nimelipia kuunganiahiwa umeme na nimenunua umeme na...
Hivi ni kweli mpaka leo umekosekana ufumbuzi wa suala la umeme, nchi nzima na kiza kimetanda, au mama hajui au anaongopewa? Mpaka imejidhihirisha uwanjani mechi za kimataifa haoni? Hizi kelele mitandaoni hazioni?
Mama usitegemee kua kuna siku utasikia taarifa mbaya ya safu yako kwenye vyombo...
Mimi ni muwekezaji wa viwanja vodogo na vya kati. Nilipofika wilaya ya Masasi nilishangaa kuona hakuna uwekezaji wa viwanda vidogo vidogo.
Nikaona hio ni fursa nikavamia yaani huu mwaka wa pili kila siku najipa moyo hali itabadilika ila kiufupi umeme unasumbua sana, hakuna siku umeme ukakosa...
Mimi naamini mama Samia anadhamira njema ya dhati kuwainua mama zetu kiuchumi na maendeleo yao kiujumla.
Cha ajabu asilimia kubwa za fedha zote ambazo mama Samia amekua akizitoa kusaidia makundi mbali mbali ya wanawake zinaliwa kwa fujo na wanawake wenyewe wachache wanaojifanya ni viongozi na...
Sifahamu ule weledi na umakini wa saliokua nao mwanzo Azam Tv umepotelea wapi, sijui kama ni kulewa kwa mafanikio walioyapata baada ya miaka 10 ya hudumu
Kiukweli kwa sasa ukilipia king'amuzi asilimia kubwa ni lazima uwapigie Azam na uwaelekeze kua nimelipia niwashieni basi
Na pia ukiwapigia...
Ni dhahiri na wazi kuwa Waziri January Makamba imemshinda wizara yake kutokana na ukosefu na usumbufu wa huduma ya umeme nchi nzima.
Ninachojiuliza kuwa ameshindikana vipi kuwajibishwa kwa jambo kubwa kama hili na badala yake ameachwa kana kwamba wizara yake inafanya vizuri na hakuna dosari...
Kuna fursa za kazi ughaibuni nchini Qatar kwa wenye umri huo ukifanikiwa kwenye interview hakuna gharama yoyote utalipia ni free kila kitu isipokua passport yako ya kusafiria utafute mwenyewe
Sifa za muombaji
Lesseni kuanzia class D
Cheti cha form four
Miaka 20 mpaka 30
Ukikidhi hivyo vigezo...
Leo ningependa kuwapa zawadi vijana wenzangu watizame hii fursa watakuja kunishukuru badaye.
Tatizo la vijana tulio wengi ni kuharakia maisha tunapenda kupata leo leo, jambo ambalo linapelekea kua na maisha magumu sana kila siku na tunaishia kufa maskini.
Ni wachache sana wanaofanikiwa kwa...
Habari wana JF
Naweza kusema mamlaka zote za mkoa wa Dar es Salaam mpaka mkuu wa mkoa mwenyewe zimeshindwa kuzuia Bar ya La Cruize iliopo maeneo Mikwambe Toangoma iliopo kwenye makazi ya watu na kufanya kelele za ajabu sana.
Ni miaka sasa wananchi wamekuwa wakipeleka malalamiko kuanzia kwa...
Habari,
[emoji298]Nyumba ina vyumba vitatu viwili masters
[emoji298] Bei ni Mil 58
[emoji298] Nyumba ya pili toka barabara kuu ya Twangoma
[emoji298] Hii Post imetolewa na mmiliki hakuna mtu kati
[emoji298] Fence na jiko kama inavyoonekana
[emoji298] nauza kwa dharura bei ni nzuri sanna...
[emoji779][emoji779] URGENT SALE[emoji779][emoji779]
[emoji298]Kiwanja Kina Hati Kinauzwa
[emoji298]Maeneo ya Kigamboni Puna Block L
[emoji298]Nauza bei ya Discount 6,000,000
[emoji298]Ukubwa wa kiwanja ni SQM 520
[emoji298]Huduma ya maji na umeme ipo
[emoji298]Tika feri ni Kilometer 30...
Habari wadau wa JamiiForums,
Binafsi napenda kuchukua fursa hii kutoa rai juu ya muungano wa Zanzibar kama ifuatavyo.
Zanzibar haistahili kuwepo na serikali inayojiendeshe yenyewe ya ndani sababu ni moja ya vikwazo vya maendeleo Zanzibar kuwafanya wananchi kutawaliwa na serikali mbili kitu...
Asalaam alaikum
Nawatangazia kua nina kiwanja nauza ambacho kina sifa zifuatazo
. Kiwanja kipo maneno ya Kigamboni maeneo ya puna
. Kutoka barabara kuu ni meter 50
. Kiwanja kimepimwa na tayari kina hati
. Umeme umefika kwenye eneo
. Ukubwa wa kiwanja ni sqm 520
. Kiwanja kina mitaa miwili
...
Asalaam alaikum,
Napenda kuwatangazia kua nina nyumba nauza kigamboni mikwambe yenye sifa zifuatazo
. Nyumba ipo kigamboni Mikwambe
. Nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami ya kigamboni
. Nyumba ina vyumba vitatu wiwili masters
. Ina Dining, sitting room, jiko na public toilet, parking
...
Habari ndugu,
Nawatangazia wadau wote kua ninauza kiwanja changu kilipochopo maeneo ya Kigamboni Kimbiji puna
Ni meter 150 toka barabara kuu facilities kama maji na umeme tayari vimefika
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 520
Kiwanja kina hati toka ardhi
Itapendeza kama biashara hii utawashirikisha...
Habari wanajamii
[emoji213]Ni nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami
[emoji213]Nyumba ina vyumba vitatu, viwili masters
[emoji213]Public Toilet moja
[emoji213]Ukumbi, Dinning, Jiko
[emoji213]Parking gari tatu ndogo zinakaa
[emoji213]Nyumba ina fence
[emoji213]Umeme na maji tayari
Bei ni Tsh...
Yani mmesahau kuwa abiria huwa wanaondoka na timetable, mmechelewesha abiria kituoni sababu ya ukaguzi?
Mbona mnapenda kufanya yenu tu ndio yaelekee ila hamjali mambo ya wengine, mlishindwaje kukagua gari usiku muache asubuhi na mapema gari ziondoke kwa ratiba.
Kweli ni haki kucheleweshewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.