Search results

  1. mbongowakweli

    Plot4Sale Nyumba na kiwanja vyauzwa Bunju 'B' Sokoni 80m/=

    Nyumba na kiwanja vyauzwa Bunju B Sokoni 80m/=. Kina title deed, 890 Square Meters, master, vyumba 3 vya kwaida, public toilet, garage, karibu na soko na barabara kuu ya Bagamoyo. Bunju Mzee Jaros 0754826668 0712168055
  2. mbongowakweli

    Njia za uhakika za kufanya biashara mtandaoni ili kuongeza kipato

    Safi sana. Naongezea tu. Wale wanaotaka kufanya hizi kazi wasidhani ni lelemama. Hakuna kitu rahisi. Yabidi ujuwe ku operate hiyo laptop au pc kwa spidi kidogo. Malipo yaweza kuwa kidogo kidogo kama vile wadunduliza. Nami natuma link...
  3. mbongowakweli

    Kufanya mazoezi ni kupoteza nguvu bure

    Nakubaliana nawe 110%. Huku mjini wanajifanya hawana muda. Wakuta mtu anakimbiza upepo wakati boma yake imejaa majani ndago na si ajabu hata ka bustani hana! Wao wanaona heri wamuajiri mtu afanye shughuli za nje ya nyumba na ndani. Hata kuosha magari yao ni shida. Hata ukiwashauri hizo shughuli...
  4. mbongowakweli

    Marekani ni kinara wa utakatishaji pesa, Jinsi wala rushwa wanavyoharibu demokrasia

    https://www7.putlockertv.to/watch/american-greed-1.52q00
  5. mbongowakweli

    Hivi kumiliki gari ya safari ndefu Kama Toyota Prado kwa safari fupi za mjini ni akili au ujinga?

    Swali tatanishi sana, ni kama jirani yangu BunjuB, ana bonge la ghorofa huku na lingine Znz, mke yupo Dom Mme Znz, mtoto mmoja na keshaondoka home anajitegemea... Wana Hayo magari na nini... Nafikiri swala ni choice na uwezo, I am not the one to judge matumizi ya mtu aliyejitafutia mwenyewe na...
  6. mbongowakweli

    Mtangazaji na DJ wa East Africa Radio, Baba T atimiza miaka 81

    Ndio faida za kula mboga za majani na matunda kwa wingi, kuepuka njaa, pombe na masigara... Happy Bday Baba T... A true legend
  7. mbongowakweli

    Pascal ni mchumia tumbo, tumpuuze

    Pascal Mayalla anatumia fursa yake iliyopo kwenye katiba yetu, akivunja sheria atashughulikiwa kama wengine, tukumbuke demokrasia lazima iwepo pande zote ya kusema utakacho bila kuvunja sheria... Hana kosa lolote...
  8. mbongowakweli

    Mpenzi wangu ananishauri nitoe mimba, hana uwezo wa kulea

    Lea tu mwenyewe, dereva wa bajaj yuko sawa kwa kusema ukweli, mambo yakikaa vyema kwake mtasaidiana, ila ujuwe mzigo ni wako, na si mchezo mchezo jiandae kisawasawa kabisa....
  9. mbongowakweli

    Benki ya CRDB yapunguza viwango vya riba ya mikopo na kuongeza muda wa marejesho kwa watumishi

    Hapo tu ndugu. I feel you. Wanataka uwanyeyekee kama wanakupa bure. Silly. Wale maafisa mikopo ni hovyo kabisa
  10. mbongowakweli

    Tulianza kwa kumchukia mama wa kambo, na sasa ni zamu ya shemeji. Nini tatizo?

    Tatizo ni watu kupenda kuhemea vya watu kwa kutokutaka kufanya kazi na kuwa na sehemu zao za kuishi. Kupenda vya bure mpaka wanaishia majungu fitina na umbeya. Yote yanasababishwa na uvivu wa kazi uliopitiliza na uvivu wa kufikiri. Typical Tanzanians...kama alivyosema JPM...na asiyefanya kazi...
  11. mbongowakweli

    Paul Makonda: Watu wenye afya mbovu hawapaswi kuiga staili ya Rais

    Sawa. Ila kwa sasa tuna janga la mvua. Mitaro kujaa, barabara mbovu, uchafu kutokukusanywa, yasiyoeleweka coco beach, foleni, EBU AJITAHIDI NA HAYO KWANZA, kusalimiana kupigana ngwala na nini siyo kipaumbele kwetu kwa sasa..
  12. mbongowakweli

    Mtaji wa Tshs. milioni 3 uzalishe Tshs. 40,000/= kwa siku; njoo tufanye biashara

    Yah. Figures hasa za mapato zinatamanisha. Ila muhimu naona uni pm uandike cost za kununuwa vitu vya kazi. Kurent eneo. Wafanyakazi wangapi na malipo yao kama nawe utaingiza hela ili nijuwe mgawanyo wa mapato. Kifupi andika cost zote na income. Tengeneza kama ka spreadsheet hivi kidogo. Halafu...
  13. mbongowakweli

    Wanawake wa kiafrika ni wanawake wa ajabu sana

    Hatupendi kulisema hili. Haipendezi kusema. Hakuna mwanamke atakayekubali hii mada. Ila ni ukweli usiopingika. Na ndiyo maana hawapendani hata kidogo. Tumeshuhudia...na watakuwa hivyo milele..wanaume tukubali hili ama sivyo tusioe au kutembea nawo..
Back
Top Bottom