Mbona maisha yanakwenda vizuri bila hao wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya!ILI KUBANA MATUMIZI KTK KIPINDI HIKI KIGUMU NI VYEMA ANGEWAPUNGUZA KABISAA,kwani kuna WAKURUGENZI,MAAFISA TAWALA na WABUNGE wanatosha kuhamasisha maendeleo ktk mikoa na wilaya,ktk kipindi kama hiki serikali inakabiliwa na...
Cuf kwani bado wana matumaini huku bara?acha aende igunga kuitafuta aibu,maana mwaka jana profesa lipumba aliona alichokipata,pamoja nakuwa anatokea huko lakini alipata kula ndogo sana,sembuse maalimu seif.kwanza atumtambui huku bara.
Mh!sizani kama watakuta lolote kwa jairo.kama awali alisafishwa,na sasa wanataka kumchunguza sioni kama kuna ma ntiki yoyote,alikua wa kumpeleka mahala husika kujibu tuhuma mizinguo tu wanayotulea kama alivyosema JAIRO kuwa ni ZE COMEDY.
Du!atakuwa kapagawa,anaenda kwa kipusa mwenzie akafarijiwe!kaibaka democracy vya kutosha acha apate marupurupu ya upuuzi wake,kwa kuwa ameyataka walimwambia aondoke ye anang`ang`ania.Hakuona yaliyompata mwenzie MBARAKI wa Misri.nggoja tuone mwisho itakuaje.sijui watamfanya kama SADAM au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.