Status inamwambia not selected for oral interview na oral interview ulifanya., unaamini hayo ndo majibu umekosa kazi 😅😅😅 ebu tutulie mimi na selected zangu miaka 3 sikuambulia kitu.
Imenibidi niwapigie na wamenielewesha vzuri sana, wanachofanya ukiomba kazi wataangalia qualifications na requirements, watakupa status ya "Shortlisted" then utapiga written watakupa "Selected for oral interview au not selected for oral interview" Mpaka hapo hawana chochote tena cha kufanya na...
Mkuu labda hujaelewa. Baada ya kuitwa kwenye oral means "selected for oral" hapo ndo mwisho wa ku access kwenye account yako., Ukienda kwenye oral au usiende hawarudi tena kwa account yako.
Ndugu zangu wale wa Selected for Oral kwenye web na Not selected for Oral kwenye App., nimejaribu kuongea na watu wa Utumishi wamenihakikishia kwamba baada ya kuwa shortlisted hakuna namna yeyote wanajishughulisha na Account yako tena. Hivyo hizo ni errors huwa zinajitokeza kwa baadhi ya watu na...
Mkuu itakua umekosa mtu wa kukupambania tuu labda au huna uelewa na mambo ya application au hufuatilii. Kwa qualifications zako unapaswa kua na ajira tena ya serikali. Kuna kazi za halmashauri zinatangazwa daily wanataka madereva na huwa ni kuanzia watu 50 ni ajira nyingi mnoo, hadi mahospital...
Siku hizi hamna pssf, mifuko yote imeunganishwa pamoja na mafao yote yanatolewa Nssf tuu. Kama umeacha kazi au kupata kazi serikalini unaweza kuendelea na malimbikizo ya kuwekeza kwenye Nssf yako ulipoishia au la unataka ela yako, chukua barua kutoka kwa hr inayodhibitisha kwamba wewe sio...
😂😂😂 mtu hajawahi hata kuajiriwa anajifanya kujua sana mambo ya mafao. Ndugu kuna tofauti ya kiinua mgongo na mafao ya nssf. Kiinua mgongo ndo ambacho hadi ustaafu na tena unapewa kuasi fulani tu kutokana na kikokotoo. Mafao NSSF haijalishi umeacha kazi au kuachishwa utapewa ela yako yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.