Nilianza darasa la kwanza nikiwa mkubwa kidogo, nilikuwa na miaka. Nikiwa darasa la pili nilikuwa naweza kucheza karata kwa ustadi mkubwa. Ikafikia point nikatega shule nikawa nakwenda kijiweni nachezea watu wananilipa.
Baada ya kupigwa mkwara nyumbani nikaamishia karata darasani. Siku hiyo...
Hili ni mojawapo kati ya matatizo makubwa mawili yanawaathiri wanaume, lingine likiwa upungufu wa nguvu za kiume. Wakati mwingine matatizo haya hutokea kwa pamoja.
Mwanaume atasemwa kama ana tatizo la kuwahi kufika kileleni endapo anamwaga kabla au ndani ya dakika moja baada ya kuingia kwa...
Kwanza kabla sijaenda mbali nieleweke kwamba leo la thread hii sio kukuogopesha. Ama uogope au usiogope huo ndio kweli, kwamba tiba ya kansa ya tezi dume ni pamoja na mwanaume kuhasiwa (castration)
Hatari ya kupata kansa ya tezi dume huongezeka kadri umri unavyoongezeka. Vitu vingine...
Kwa walioko interested kuna kozi ya AI inatolewa online bure kabisa kutoka chuo kikuu cha Helsinki Finland. Mtu yeyote anaweza kusoma ili kujua basics za AI. LINK YA KWENYE COURSE HII HAPA https://course.elementsofai.com/
Nianze kukiri ukweli kwamba kati ya viumbe ambao wako trickier hasa kwenye suala la ngono na tendo la ndoa kwa ujumla ni wanawake. Leo sitaki kuandika maneno marefu sana. Niende moja kwa moja kwenye point.
Inapokuja kwenye suala la ngono na tendo la ndoa, ushauri wangu ni kwamba mpe mwanamke...
Sina sababu ya kujiapiza. Maisha yangu siku zote naona fahari kuwasaidia binadamu wenzangu. Sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana. Ukitoa utashi tuliojaaliwa sisi si kitu mbele ya wanyama kama simba, mamba, viboko na wengine. Huu utashi na wala siyo nguvu ndio unaonisukuma kupenda kuwasaidia...
Kuna matatizo mengi ya tendo la ndoa ambayo yanaathiri wanawake kwa wanaume. Kwa wanaume inawezekana ikawa ni kukosa hamu ya tendo, upungufu wa nguvu za kiume au kuwahi kufika kileleni. Leo nataka kuzungumzia ukubwa wa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume matatizo mengine nitazungumza katika...
Ndugu zangu maambukizi ya HIV bado, tena ndio kwanza aina nyingine( strain) mpya ya mdudu wa HIV amegundulika. Njia za maambukizi ni zile:-ngono isiyosalama, kuongezewa damu, mtoto wakati wa kuzaliwa na kutumia vitu vyenye ncha kali kama vimetumiwa na mtu mwenye maambukizi.
-Ngono kinyume cha...
Kuna algorithm inayofuata wakati wa kupima HIV. Huwa vinatumika vipimo viwili ili kupima HIV. KIPIMO cha kwanza huwa kina sensitivity kubwa ili kuhakikisha hakiachi mtu yeyote mwenye maambukizi. Iwapo kipimo cha kwanza kikiwa positive kinafanyika kipimo cha pili. Hiki huwa kina specificity kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.