Habari za majukumu wadau nauza gari aina ya vitz na inapatikana KIVULE - UKONGA - DAR ES SALAAM
1. Year 2001
2. CC 1290
3. 123,000 kilometers
4. Model No. TA-NCP1O
Kwa mwenye kuhitaji tafadhali ani pm
Wakuu,
Poleni na majukumu na kero hasa za kampeni. Nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mmoja kwa mwaka sasa ila amekuwa na tabia akirudi kutoka kazini au kwenye mizunguko ananidanganya katongozwa mara na kona mara na mwanaume kakutana naye mara na rafiki zangu nilipoanza kumfuatilia...
Wana Jf habari. Tunauza na kukopesha zana mbalimbali za kilimo kwa bei nafuu sana na tunatoa msaada wa kiufundi na kitaalamu kwa wateja wetu.
Baadhi ya zana tunazouza na kukopesha ni
tractors ,
ploughs,
powertillers,
trailers ,
harrows and
planters
TAFADHALI UNAWEZA WASILIANA...
Kwa aliyeserious.Nauza kiwanja chenye ukubwa wa 968 mita square kwa bei ya 150,000,000/= na kina Godown kubwa. Kipo Kivule stand ni eneo zuri la biashara.
Anayehitaji anipigie kwa simu hii 0752643919
Kaka aksante kwa kuonyesha nia. Nilivyotembelea website yako inaonyesha blog ambayo ulitumia free template ambayo haifai kutransfer. Tafadhali tupigie kwa 0752643919 tutakupa maelezo zaidi
Today again the dollar read at 2353 for bank exchange rates which forced us to increase our hosting prices to cope with this exchange rate. For this case our new hosting rates will be
Basic Plan in TZS
160,000.00 /2 years
90,600.00 /1 year
67,600.00 /6 months
44,700.00 /3 months
18,900.00/1...
Yaani analia kabisa eti ni shida ilimfanya afanye hivyo. Kusema kweli yeye ni mtoto wa kambo na anaishi kwa rafiki wa mama yake huko tanga ili asome. Maisha yake ni ya kuungaunga kweli
Habari za jumatatu wana MMU,
Mwenzenu nimepatwa na janga jipya kabla ya janga la kwanza kuisha. Nina mpenzi wangu ambaye nilitamani sana kumuoa anasoma na kuishi Tanga mwezi wa kumi na mbili alikuwa anafanya field kwenye ofisi moja ya serikali kule Tanga .
Wakati wa field alibadilika sana...
Jamani nashukuru kwa ushauri wenu wote mlionishauri naona jana nimeongea naye kwa busara anasema hataki kurudi kwa huyo bwana yake anaenda kijiji kuanza maisha eti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.