Natumaini hamjambo, katika harakati za kujikwamua nililima Tangawizi hii imekomaa vya kutosha maana ilipaswa kuvuna toka msimu ulio pita lakini sasa ndio nipo navuna na nataraji kuvuna zaidi ya tani 10
Karibuni no 0674067474
Ni ukweli usiopingika kuwa huku mtaani tunao Hamza wengi sana ambao wengi wao ni matokeo ya utendaji kazi wenu unaobeba maslahi ya wachache na kuacha kundi kubwa likisononeka na Dunia ya sasa taarifa zinasafiri kwa haraka sana hivyo mengi tunayaona na inasikitisha zaidi pale viongozi mnakuja na...
Habari wana janvi nimesikia kuna machine inayo weza kurahisisha upandaji wa mazao kama mahindi, karanga nk je kuna mwenye taarifa sahihi juu ya hili na wapi zinapatikana bila kusahau na bei pia ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumaini hamjambo.
Mm ni mkaka sasa nahitaji mwenza/ mke anae jitambua na mwenyenia ya kuolewa, umri wangu kwa sasa ni 33 hivyo mke mtarajiwa awe na umri 24 to 28 yrs. Binafsi ni mkristo hivyo nahitaji mkristo pia kabira sio kigezo kwangu bali mtu husika ndio kigezo cha kwanza.
Mengine yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.