Kwa muda sasa pamekuwepo na shida ya maji. DAWASA hamjatoa taarifa yoyote. Inaelekea huu mradi imewashinda kuendesha. Ingependeza sana kama mnaweza kutoa taarifa nini tatizo. Mna mkataba na wenye magari ya maji?
Imefika wakati serikali/bunge ikaweka sheria kuhusu matumizi na manunuzi ya magari. Magari ya serikali yawe chini ya ya cc 3000. Exceptions iwe kwa idara za usalama lakini siyo V8. Jirani zetu Kenya wanatumia huu utaratibu. Hii itapunguza fuel expenses na bei ya manunuzi.
Pia tufanye sensa ya...
Uber wamesitisha huduma kutokana na regulations mpya za LATRA. Binafsi ingekuwa jambo la busura kuacha market forces kudetermine wanataka nini. Kama Uber wanachukuwa 25% na wewe unaona ipo juu basi nenda to another operator.
At the moment quality of services being provided by remaining...
Serikali ya awamu ya tano wanafanya na wanaendelea kufanya uhakiki wa wafanyakazi, wanafunzi, walipa kodi na madeni. Hili ni jambo zuri ambalo itatuwezesha kujua takwimu sahihi ya nchi yetu kama elimu ya wafanyakzai, idadi kamili ya walipa kodi nk.
Nadhani ni vizuri pia serkali ingefanya...
Ninaomba kupata ushauri juu ya biashara ya transport pamoja na changamoto zake hasa kwenye upande wa operations.
Ninafikiria kufanya hii biashara na ningependa kufahamu wapi pa kuanzia yaani aiana mfano Fuso (less than 10 tons) au rigid bodies (ton 10 - 20) na semi trailers.
Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu wa wabunge na madiwani. Nini iwe strategy ya vyama vya upinzani ile viweze kutoa changamoto kwa CCM.
Mimi nadhani , kwanza vyama hivi vingekubaliana kusimamisha mgombea mmoja iwe kwa wabunge au madiwani. Kila mmoja akisimamisha mgombea , watagawana kura na...
Kwa muda mrefu pamekuwa na mawazo kuwa baraza la mawaziri ni kubwa . Hii inatokana na katiba kumpa Rais uwezo wa kuamua kuwa na ukubwa gani wa baraza hilo.
Ingekuwa vizuri, ikiwezekana (kabla ya 2010), bunge lipitishe muswada kuhusu ukubwa wa baraza hilo. Ioneshe ni wizara zipi ziwepo na...
Ninaomba kuuliza,
Katika one calender year , mbunge wa Tanzania anatumia muda gani katika jimbo lake.?
Mbunge anatumia siku ngapi katika session za bunge katika mwaka?
Mbunge anatumia siku ngapi katika kamati za bunge katika mwaka?
Nchi nyingine in comparison , mbunge anatumia muda gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.