Kunyongwa tu Fisadi mkubwa huyo! Wakati wao wakiendelea kujirimbikizia mali, watoto wa walalahoi hawana hata madawati ya kukalia mashuleni, watanzania sasa hawana cha kujivunia ktk nchi yao, wamepoteza matumaini.
Mie naomba kwa mnaofahamu mnifafanulie haya, 1 Kuna uhusiano wowote kati ya UV-CCM na Wakimbiza Mwenge? 2 Ni kwa nn ktk Shughuli mbalimbali za Kitaifa viongozi wa Vyama vya Siasa (WAPINZANI) hawathaminiwi?
Me nasema wawalipe kwa 7bu hayo ndo Matokeo ya kuwa na Serikali Mbovu, Wala hakuna haja ya Mwananchi kuandamana, Mangapi tulipinga lkn serikali yetu ikayafanya kwa nguvu? Cha msingi tukubaliane na kila hali, NGUVU kubwa tuilekeze kwe Uchaguzi wa 2015, tuwafyatue hawa Magamba. "NCHI IMECHAKAA...
Asanteni wana Igunga, ni mwanzo mzuri sana kwa Jimbo toka mkoa Ngome ya Magamba kutikisa kiasi hiko, kiukweli binafsi nimeduwazwa sana kwa Onyo mlowapa hao Majambazi sugu. Nadhani kila mwenye Mapenzi mema na Nchi ye2 atakuwa kafarijika, nasema tumeona jitihada zenu na Hongereni wana Igunga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.