Kazi hiyo inayobagua mpaka dini hapa Tanzania haifai. Waislamu mtaacha lini udini? Mbona wenzenu Wakristo wanaajiri kila mtu mwenye sifa bila kubagua dini?? Acheni hizo!!
Pisi kali ya wapi ndugu, pisi mbovu tu hii! Angekuwa pisi kali jamaa angeendelea kufaidi na wala asingekimbia! Pisi kali haijiuzagi. Inafuatwa, haijipeleki kudanga!
Kumbe ndio maana ukaachwa kwenye mataa upambane na hali yako. Nani angevumilia mdomo mchafu kama huu! Hata hivyo mkaka wa watu muungwana sana mpaka kakuachia na laki kabisa na bado hushukuru!! Duh..,.. Mie ningekuachia deni zima ukomaenalo mwenyewe, na asali nishapakua! Hahahaha.....
Badilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.