Jipatie tofali imara kwa bei nzuri hapa mjini arusha kutoka NOKEL INVESTMENT viwanda vipo Olasiti ila tutakupelekea mzigo wako pale ulipo.
Kwa mawasiliano: 0754925169
Karibu ujenge na sisi.
chama ni chetu sote na sote tuna nafasi sawaaa. pamoja tujenge chamaa akitokea yoyote anataka kutuharibia chama tutamng"oa kwenye chama awe na ama nani lazima katiba ifwatwe.
hivi wewe uliandika upuhuzi huu unaakili? kama unaakili umeongwa sh ngap za madafu? acha upumbavu nan anasema mbowe alikimbia kuna police wakukimbiwa bongo mbele ya haki? acha ufala
tusiwe na mawazo hayo kwani ata viongozi wa chama hawafikiri haya unayoyafikiria. tunachokijua nakukiwaza na kukifanya ni kukijenga chamaa kwenye mising imara zaid na zaid ikifka 2015 serikali tuichukie, tafadhali embu akikisha wewe una kadi ya chama ongeza na wezako mia na hao mia waingeza...
wana JF wezangu si zani swala la kumcrash mtoa maada nijambo la kiungwana we soma alichoposting kama amekuboa we tulia, maswala haya ya kumcrash m2 et una thkng capacy ndogo hayo ni maneno yasio ya kistarabu
wana JF wezangu si zani swala la kumcrash mtoa maada nijambo la kiungwana we soma alichoposting kama amekuboa we tulia, maswala haya ya kumcrash m2 et una thkng capacy ndogo hayo ni maneno yasio ya kistarabu
combani sio mama makini pia ni m2 wa kukurupuka, hakukuka chini nakufikiri kwanza. Tatizo la mawaziri na spker wa bunge na wabunge weng kama sio wote wanasaidia serikali kutawala badala ya kukosoa. Tatizo hawana uhelewa wa vitu. OGOPA ANAYESHIBA UWEZO WAKE WA KUFIKIRI NI FINYU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.