Wasalaam wandugu,
Natumaini mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa letu. Leo nilikuwa naperuzi mada moja inayohusu BP kufunguliwa mashitaka na EWURA. Lakini nilipoona habari hiyo kukawa na jina la GRK Advocates kama mawakili wa EWURA.
Sasa nikaamua kuiperuza hiyo website ya hiyo advocate katika...
Haya wadau wale wenye kuhitaji kazi kwenye mifuko ya hifadhi za jamii ,kazi zimetoka SSRA.japo nimeshindwa kuifungua unaweza angalia kwenye website yao www.ssra.go.tz kisha ingia upande wa employment.Nawatakieni kila la kheri.
Hivi sasa niko kigoma mjini na matokeo ni kama ifuatavyo:
Kigoma mjini : Chadema wameongoza kwa kura 400, serukamba wa ccm kagoma kusaini matokeo so wameomba recount na sasa kura zinahesabiwa, zitto yupo hapa kuweka mambo sawa. Ila so far chadema imeongoza.
Kigoma kusini : Kafulila wa nccr...
WAKUU KWANZA POLENI NA MIHANGAIKO YA KILA SIKU YA MAISHA.
KATIKA PITAPITA ZANGU NIMEONA KUWA MH ABOOU AMBAYE NI NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRICA MASHARIKI AMEPATA MASTERS YA PUBLIC ADMINISTRATION, SOURCE - Parliament of Tanzania. SASA MKUU HUYU ANASEMA KUWA AMEMALIZA COURSE...
WAWEZA KUZIPATA HAPA PIA http://www.competition.or.tz/fcc_files/public/re_advert_for_counterfeits_director.pdf
The Fair Competition Commission (FCC) invites applications from suitably
qualified Tanzanian candidates to fill the post identified below. Applicants who had
applied for the post...
kazi jamani, kwa kuwa me si mjanja wa kucopy kwa ufanisi, waweza kuzipata hapa http://www.lrct.or.tz/Job%20Advertisement.pdf
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
LAW REFORM COMMISSION OF TANZANIA
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
The Law Reform Commission of Tanzania invites applications from...
Hizi hapa nyingine kwa wanaotakakuwa ma CEO. UNAWEZA PIA KUZIPATA http://maji.go.tz/userfiles/ddca(1).pdf
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF WATER & IRRIGATION
EMPLOYMENT OPPORTUNITY
THE DRILLING AND DAM CONSTRUCTION AGENCY (DDCA)
1.0 Introduction
The Drilling and Dam...
Nimejaribu kuicopy ila sina utundu sana wa mambo haya ya mtandao, but u can view it hapa http://maji.go.tz/userfiles/Tangazo(2).pdf
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF WATER AND IRRIGATION
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
The Permanent Secretary, Ministry of Water and Irrigation invites...
Kwa maeneo ya Dar es salaam mi ni mkazi wa sinza, ila kuna siku jamaa yangu mmoja anayeishi maeneo ya masaki alitaka tukutane nami nikaitikia wito wake.Tulipanga na tukakutana Dids bar iliyopo oysterbay opossite Jackies bar.
Bada ya kukaa kwa muda nilimwona anaingia mtu mmoja kwa jina la Ben...
Jamani wana jamii wenzangu samahanini kwa kutokuwepo mtandaone kwa muda kidogo.
Hivi ina maana Muungwana haoni kelele zote hizi wanazopigiwa hawa mafisadi.Yule aliyekuwa mkurugenzi BOT na aliyefacilitate wizi pale BOT kapewa ulaji bada ya kuiba BOT .Soma chini -
JAMHURI YA...
Wana jf nimepata fununu kutoka kwenye vyombo vyangu vya habari nimepata tetesi kuwa huenda mabadiliko ya cabinet yakawa jumatano ya wiki ianzayo kesho,kisha nikaendelea kudadisi nikaja kupata tetesi kuwa mabadiliko hayo yatawakumba wengi ikiwemo mawaziri waandamizi,na katika kutafuta habari hapa...
[B][/B
Ndugu wana jf kuna TETESI kuwa baada ya kuona hali ya hewa hapa nchini kwetu haindi vizuri,muungwana atafanya mabadiliko makubwa sana katika baraza lake la mawaziri,na zoezi hili linasemekana kufanyika moda wowote kuanzia sasa na kabla ya bunge la octoba,hasahasa atakaporudi kutoka italy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.