Kwa yanayoendelea sasa kwenye mpira wetu ni ujinga na upumbavu mkubwa kuoneshwa na wapenda maendeleo ya michezo hususan huu mchezo pendwa wa mpira wa miguu.
Ndani ya siku tatu kumekuwa na matukio yasiyo ya kuvutia kwa wanamichezo wa kweli. Lilianza la Ali kamwe kumshambulia kwa maneno ya kejeli...
Kocha mmoja kufundisha timu mbili ligi moja kwa wakati mmoja kivyetuvyetu.
Timu kukosa golikipa na kumtumia mchezaji wa ndani kama kipa kivyetuvyetu.
Kosa moja kutendwa na watu wawili wanaosimamia na mtu mmoja mwingine akaadhibiwa na mwingine kuachwa kivyetuvyetu.
Halafu anakuja mtu mmoja...
Paka ama nyau kama wengi tunavyo mtamba ni mnyama wa aina yake na ana sifa za kipekee sana hasa ukija kwenye suala la utafutaji au uchakalikaji kwa lugha zetu za mitaa.
Mnyama huyu ambaye yupo katika makundi mawili yaani paka wa nyumbani na paka wa porini anaweza kutufunza mambo kadha wa kadha...
Paka ama nyau kama wengi tunavyo mtamba ni mnyama wa aina yake na ana sifa za kipekee sana hasa ukija kwenye suala la utafutaji au uchakalikaji kwa lugha zetu za mitaa.
Mnyama huyu ambaye yupo katika makundi mawili yaani paka wa nyumbani na paka wa porini anaweza kutufunza mambo kadha wa kadha...
WANAOFAIDI KEKI YA TAIFA
Na Thadei Ole Mushi.
Kwa Mwezi anapokea Milioni 11,000,000
Kwa mwaka atapokea 132,000,000
Kwa miaka mitano atapokea Jumla 660,0000
Huu ni mshahara tu hujaweka kiinua Mgongo, bado Sitting allowance, bado Posho mbalimbali nk. Tuachane na mawaziri na manaibu waziri...
Habari zenu wana Jf.
Nimekuwa nikijiuliza kwa nini mama anapewa sifa sana kuliko baba?
Leo nimekuja na majibu ya shamba bora kwa mazao bora.
Hapa nimetafakari sana nikagundua kuwa watu wote wanaweza kuwa na mbegu ila wachache sana wanaweza kuwa na shamba. Mbali na kuwa wachache lakini bado humo...
Kama kuna yeyote aliyesomea open university bachelor of education teacher educator (BED-TE) na ana material please nisaidie niendelee kupitia huku nikiandaa pesa ili niweze kujitafutia mwenyewe.
Kiswahili na Kiingereza inahusika niko level one.
Kumekuwa na ongezeko la matamko na vitisho kwa walimu katika nyanja hii ya elimu.
Lakini je tatizo ni mwalimu ndio maana elimu inashuka?
Nafikiri jibu ni hapana.
Kuna mambo mengi yasiyo tajwa juu ya tatizo hili.
Kwa ukweli na uwazi haya ni baadhi ya mambo yanayopelekea kushuka kwa elimu katika...
Mungu linda taifa letu tuodoe kwenye msongo wa mawazo na hofu juu ya #COVID-19, Amen. Watanzania tusisahau baada ya vipimo mbalimbali kuonesha ubora na udhaifu wa viongozi tuliowachagua mwaka 2015. Huu ni mwaka mwingine wa kutumia nafasi zetu vyema kwa maendeleo ya taifa na watu wake. Tukachague...
Hivi sisi watumishi wa umma tupo kwenye daraja gani?
Hata haki zetu hatujui tuko kundi gani?
Anayetuthamini hatumuungi anayetusaliti hatuwezi sisi wa nini?
Acha 25% ifanye kazi tu.
Hatuna maana kabisa.
Hata salary nayo tupeni 50%hatujui kujitetea wala kudai.
Bora nchi ijengwe ila sio sisi tusio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.