wacheni unafiki kusema msiyoamini utawala wa sheria ndio huo si lazima kila mtuhumiwa apatikane na hatia ndipo ionekane mahakama na vyombo vyetu vya dola vinafanya kazi kama hamuoni hivyo anzisheni jpolisi na forum court yenu muwahukumu!
wana jf mimi ni mmoja wa waanzilishi wa gazeti maarufu la kiswahili kanda ya kaskazini linaitwa arusharaha na tovuti ya www.arusharaha.com naitambulisha kwenu na pia nawakaribisha mtoe ushauri,pia maoni na hata makala,na habari mbalimbali zinazihusu nchi yetu zikiwemo habari za madini hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.