Kulingana na Ukandamizwaji wa kikoloni uliopita miaka ile, nina mashaka hii Afrika bado sio yetu... Angalia Namna Rasilimali za Afrika zinavyohujumiwa tena in a good, smart and soft language na Bado hatuna jeuri ya kuzuia badala yake tunamulika tu mambo ya kihamiaji, mipaka na kubaguana huku...
Asante Kaka, Umenishika kwelikweli.... Big Up!! Mungu awe mlinzi wake hasa kivita na hata akishindwa au akishinda, namuombea ushindi natamani sana Mungu angeeshuka LIBYA, Mungu anafanya mzaha sana Mtu km Gaddafi Mungu alipaswa ampe ulinzi na kuuonesha Ulimwengu kwamba anaweza live, nadhani...
Ewe Kiumbe uliyeumbwa Kutokana na Majimaji yatokayo kwa mwanume kisha yakaa ndani ya mwanamke miezi kadhaa, na bado usishangae hayo yawezeshwa na nani? Hakika uko ktk hasara kubwa... Wa Kumponda Allah uwe weye? Hujui usemalo nakuombea Allah Akuondolee utando km siku ile ulipozaliwa..... ALLAHU...
Nakuunga Mkono na waeleze wagumu wa kubadilika, Mbona kwa mitume wengine walikubali mabadiliko? iweje kwa Muhamad(S.A.W) wawe na vichwa maji? Hakika Ilsam ndo din ya haki na Ulinmwengu mzima, Allahu Akbar!!
Hakika Naungana nao bega kwa bega, tumuombeeni Gadafi Jamani... Eee Mola Shuka Uwainue watu kama Gadafi, Hebu kwa machahe sana aliyofanya kwa ajiri yako Allah, basi Mnusuru na awashinde Adui wa Uislamu na Maendeleo ya Libya. Usifumbe macho Ewe Mola Muumba wa Mbingu na Ardhi, Gadafi katumia...
Kulingana na Mapenzi ya WanaBiharamulo, wanazipenda sana sera za CHADEMA hasa ukizingatia ni mambo mangapi ambayo CHADEMA wameyamulika na hivyo kuleta msisimko kwa wananchi na kuwaamsha akili.
Huu ni Mtizamo wangu na kwa jinsi niyaonavyo mambo hapa Biharamulo, Kuna Mtu mmoja nimekutana naye...
Mapenzi ya dhati hupatika pale ambapo Wapenzi hupendana bila masharti wala vigezo. Hii ina maanisha kwamba pesa, mali, uzuri havina nafasi. Pili Mapenzi ya dhati hupatikana pale ambapo wapenzi wamechukua muda kufahamiana vyema na sio haraka km inavyokuwa kwa wapenzi wengi wa siku hizi, hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.