Habarini wana JF, natafuta ule wimbo maarufu katika kipindi Hiki cha Christmas na mwakampya (tufurahi na mwakampya) by Hamza Kalala,..happy new year
Sent using Jamii Forums mobile app
"DHAMBI" Ni kukiuka maagizo ya mwenyezi mungu,kwenda kinyume na sheria za mwenyezi mungu,kufanya mambo ambayo Ni chukizo mbele za mungu.hapo mwanzo hakukuwako na dhambi, Before human creation dunia ilikua inakaliwa na viumbe wanaitwa majini,majini wameumbwa na mwenyezi mungu na wapo wema na...
aaaghh wahuni msithubutu kuingia Kama Mpoto ,dawa zipo Ila wataziachia Mbali Sana.. hata Hapa bongo kuna mtu alijitokeza kwenye media fulani na akatangaza kwamba amegundua kirusi ambacho ukiki-inject mwilini basi kinakwenda kutafuna HIV zote,hivyo baada ya miezi kadhaa HIV kwishaa na alieleza...
anaunga tela la Z.anto,MB dogg,Tunda man na wengineo ambao waliponyoka mikononi Mwa watu Kama Said Fella na Taletale na wakaishia kuwaimbia masela tu mitaani japokua Ni wasanii wazuri
Sasa kivipi kamanda akimbilie suala la koro-show wakati matatizo yapo mengi tu?kumbe yeye ndo mtu wa kwanza kuhusisha tukio hilo na jinamizi la korosho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.