Nashangaa Tanzania nchi yangu leo ni siku kubwa ya Simba Day na siku kubwa ya Nanenane lakini umeme hakuna hivi tunalipia Luku ili iweje maeneo ya Mbagala umeme hakuna waziri mwenye mamlaka leo ni siku kubwa nchini bila umeme, kazi iendelee [emoji375]
Leo ndiyo ufafanuzi wa serikali kuhusu 23% ya mwezi July nangoja nione watasema nini maana nilikuwa na tumaini na mama anatulea kumbe mama naye katuchoka mapema. Mungu tusimamie watumishi kikombe kigumu kwetu[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.