[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Moderator asafali/tafadhali/tahadhari nk
Naomba usaidie kubadili title ya mwamba... Nashindwa kujua anatoka mkoa gani.
Yote heri cha muhimu ujumbe umefika.
Shout out to team Putin wa Manzese
Hapa ndo umeongea maana nilitaka nikwambie uende slip way nikasita sababu sikujua upo mkoa gani.
Kwa Mwanza ni changamoto aisee, sina idea ya sehemu wanauza ila zamani kulikua na duka la engine barabara ya Makongoro karibu na taa za pale Nela Street mchepuko wa kwenda Mwaloni. Ni duka la...
Mwamba wewe naona unajieleza sana, na inaonekana wewe ni tapeli kabisa. Toka lini biashara ikafichwa inbox?
Kama una legal business iweke hapa otherwise wewe ni tapeli wa mtandao kama matapeli wengine
Mtu anataka mzigo kariakoo wewe unaleta habari za Dubai. Kama una biashara halali ya kuagiza mizigo Dubai si uweke hapa hadharani watu waone?
Mzee baba nenda Mtaa wa Agrey Kariakoo uliza duka lolote wakuelekeze maduka ya jumla ya vifaa vya simu, watakuonyesha bila shida. Usiulize mafundi wala...
Nakubaliana na wewe kwenye jamii ya kimasai lakini Binadamu ndo mharibifu mkubwa wa Nature, Lazima population ya watu na wanyama iwe controlled na watu wafikie makubaliano ya pamoja otherwise Ngorongoro haita exist Tena
Acha upopoma wewe jamaa, wapi wanafanya hivyo? Tofautisha kati ya National Park, Game Reserve na Protected Areas. Halafu ujue ni wapi wanafanya Trophie Hunting na wanyama wanotumika kama bait ni Nyati, Nyumbu na Swala
Hiv una Elimu ya Uhifadhi Kweli?
Yani watu tunafikiria Simba awekwe kwenye Endangered Species sababu wanapungua kwa kasi sana Tanzania na Duniani. Wewe unasema hata Simba na fisi wanauawa wakizidi.
Hakuna kitu kama hicho kwenye Eco System, Simba atakufa natural death au atauawa na myama...
Kuna swali unaulizwa na wadau ili wajifunze kitu lakini unalikwepa.
Je Hiyo Bodaboda alipandia Kijiweni au ilikua inapita barabarani mkasimamisha? Na kama ni kijiweni je ni kijiwe gani ili watu wakikwepe wanapokua maeneo hayo?
Asante
Kuhusiana na hizo gari mbili kama ulivyouliza ni bora uchukue toleo jipya, Ila naomba nieleze waziwazi hiyo dhambi ya kukushauri ununue Rumion mie sijashiriki.
Asante
H
Hizi Gari Bumper zake zipo chini sana utafikiri ni feeders, Nikushauri kama wewe sio bitoz, tafuta gari nyingine ambayo haina bumper hizo kama Toyota Allex au Runnx.
Nakuhakikishia hiyo gari ukichukua, itachakaa ndani ya mwaka mmoja sababu ya mabarabara yetu kwa kuchubua bumber lako hilo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.