Search results

  1. C

    TFF ichunguze ligi ya mpira wa miguu Tanzania Bara

    Kwa mpira wa jana Simba dhidi ya Singida nashawishika kusema TFF hawana budi kuchunguza Mechi zote ambazo simba Wanacheza. Inawezekana ndio mpango wa maboss wao kuwarubini Waamuzi ili wapate matokeo. Haiwezekani mechi zaidi ya 5 waamuzi Wanaochezesha mechi za Simba kufungiwa/ kulaumiwa Kibaya...
  2. C

    Vyuo Vikuu vya Kilimo Afrika Mashariki ni wakati wa kutolala usingizi kwa kutupa tafiti za Mbegu za GMO

    Tanzania na Kenya zimefanikiwa kuwa na Vyuo vikuu bora katika maswala ya kilimo Afrika. 1. Kenya- Egerton University; Jomo Kenyata University of Agriculture & Technology 2. Tanzania- Sokoine University of Agriculture Sasa baada ya Kenya kuruhusu matumizi ya mbegu za GMO, wasomi kutoka Vyuo...
  3. C

    Haya mnaojifanya ni Wafalme wa Lugha ya Malkia Afrika mashariki, Motokeo hayo hapo

    haya mnaojifanya ni Wafalme wa Lugha ya Malkia Afrika mashariki, Matokeo hayo hapo
  4. C

    Viongozi wa Dini tuwaelimishe viongozi wanasiasa kutosogelea Madhahabu wakati wa Ibada

    Viongozi wa dini hasa dini za Kikristo mnaombwa kuwakumbusha viongozi wa kisiasa kuheshimu Mimbari wakati wa ibada. Mimbari ni sehemu ambayo Walawi wanaruhusiwa kufanya Ibada na matamko yao kama walivyoamrishwa na Mwenyezi Mungu. Waislamu wenyewe hili lipo wazi Masheikh ndio huruhusiwa...
  5. C

    Uganda na Kenya ndio Ndugu na Marafiki wa kweli kwa Tanzania

    Kuna msemo wa Kiswahili usemao Rafiki/ Jirani wa kweli utamjua wakati wa shida. Tanzania imekua nchi ya kwanza kwa kuondokewa na Rais wake kipenzi aliyekuwa madarakani. DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. Ukweli ktk msiba huu nimeamini Nchi za Kenya na Uganda ndio jirani na rafiki wa kweli wa...
  6. C

    Namibia has been ranked as the country with the best roads in Africa

    Namibia has been ranked as the country with the best roads in Africa for the fifth consecutive year. ===== For the fifth consecutive year Namibia has retained its position at the top of the list of the best roads on the African continent. According to the World Economic Forum’s (WEF) Global...
  7. C

    Waajiri na Makampuni Binafsi, toeni Maoni yenu vyuo vipi vinapika wataalam vizuri

    Ni muda muafaka kwa Waajiri na Makampuni binafsi kutoa mrejesho kwa Wanafunzi wa Vyuo gani Wanafanya Vizuri katika Maeneo yao ya kazi. Pia tunaomba watoe mrejesho ni maeneo gani ambayo yana upungufu mkubwa wa Wataalam wa Fani husika. Nikimaanisha kuna Position inabidi Human Resource Officers...
  8. C

    Nchi ipi ni Jirani mkubwa kwa Kenya?

    Kenya imezungukwa na nchi nyingi 1. Somalia 2. South Sudan 3. Uganda 4. Tanzania 5. Rwanda Kati ya nchi hizo ni nchi gani ambayo Wakenya wapo na Ujirani + Undugu mkubwa nayo?
  9. C

    Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi ya Kimbunga

    Uchumi wa Tanzania unakuwa kwa kasi kuliko nchi zote za Afrika Mashariki. Huduma za kijamii zikiendelea kuboreshwa. Majengo ya kisasa yanazidi kuota kama Uyoga katika miji mikubwa ikiwemo Dar es Salaam.
  10. C

    IMF: Tanzania Rapidly Closing its Economy gap with Kenya

    Kenya’s status as East Africa’s economic powerhouse is at stake as Tanzania races closely behind, with a higher growth rate that is increasingly narrowing the gap between the two economies. Tanzania has added impetus to its economic firepower, growing by an impressive seven per cent over the...
  11. C

    Tanzania Companies top listed

    ======= Dar es Salaam. Tanzania has produced two companies on the list of Africa’s 100 most valuable firms. South Africa-based African Business disclosed in a ranking of the continent’s top 250 firms that TBL Plc and Vodacom Tanzania Plc are the two most valuable firms in the country. At the...
  12. C

    TFF na hatma ya mpira wa miguu Tanzania

    Wakuu naomba kuuliza. Hivi TFF hawaoni madudu yanayoendelea katika League ya Mpira wa Miguu Tanzania? Timu zinapewa ushindi kwa makosa ya wazi. Wachezaji kuwa offside. Muda wa nyongeza kuzidishwa ili kufanikisha ushindi wa timu husika. Hii ni hatari kwa Mustakabali wa mpira wa Tanzania...
  13. C

    Kenya leo tunawapiga challenge

    Harambee Stars leo lazima wakalishwe dhidi ya Kilimanjaro Stars. Mungu Ibariki Tanzania!!
  14. C

    Suluhu la Matatizo ya Sekta ya Michezo Tanzania

    Inasikitisha kuona Tanzania inashindwa kufanya vizuri Katika sekta ya michezo. Ingawa Watanzania wengi ni wapenda michezo. Rais Mstaafu mhe. Ali Hassani Mwinyi alifikia kusema "Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu hii ni kutokana na uchungu wa nchi yake". Ni kipindi cha Mh. Mkapa alijenga uwanja...
  15. C

    Walimu wa Masomo ya Sayansi kulipwa maradufu ya Walimu wa masomo ya Lugha+ Sanaa

    Ni wakati umefika kwa Tanzania kuwalipa Walimu wa Science na masomo ya Hesabu Maradufu kuliko Walimu wa masomo ya Lugha na Arts. Hii ni kutokana na Ugumu + Msuli unaotumika kusoma hayo masomo kuliko Masomo ya Sanaa. 1. Miaka ya nyuma Serikali ya Mh. Mwinyi ilikua inatoa Malipo ya ziada kwa...
  16. C

    Memorial: Pius Msekwa and Balozi Liundi

    Mhe. Pius Msekwa na balozi Liundi enzi hizo
Back
Top Bottom