Nadhani hapa si rais wa kukodisha mbona watu makini wapo na mtawaona 2015, ila tatizo lenu kila kitu Nambari wani eeek nambari wani ni CCM! hatutafika tukiirudisha CCM madarakani tumekwisha, mimi tangu 1995 sijawahi kuipigia CCM KURA na sita ipigia kamwe!
Ndugu wanajamvi!
Ikumbukwe kuwa Waziri Mwakyembe aliwatimua baadhi ya Wakurugenzi na Mameneja Bandari ya Dar-es-salaam na kutangaza nafasi hizo kuwa wazi. Baada ya matangazo hayo ya kazi watu mbalimbali walziomba nafasi kadhaa kutokana na wasifu wa kazi husika.
Mshikaji wangu wa karibu sana...
Wana jamvi tujadili hii Nukuu ndogo tu iliyoandikwa na Mwananchi kuhusu ufisadi TAMISEMI
"Tumelazimika tena leo katika kipindi kisichozidi wiki mbili kuzungumzia ufisadi unaoendelea kuitafuna Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi). Mwishoni mwa mwezi uliopita, tulichapisha...
Tulimumu, Nyerere na Wasira ni wa kaskazini kweli? Makubwa haya! geografia yako haipo sawa au historia ya watu hawa kwakao haijakaa sawa! Au una maana gani? nakubalina Lowassa, Sumaye na huyu mpare Mama Migiro wanatoka kaskazini.
Huyu jamaa ninawasiwasi na understanding yake, kuhamia juzi tu anaconclude kwamba Chadema wanaubinafsi? Huyu ndiye anasema anataka Ubunge kupitia CDM? Lini alisoma katiba ya CDM? Mbona hajaeleza ubinafsi huo wa chadema ukoje ukoje, amesema kijumla sana bila kuweka facts on the Table. Shame on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.