Wakuu, poleni na Lockdown ya mtandao hope watarudisha baada ya wanachokitaka kutimia.
Ninataka kuweka tangazo katika moja ya gazeti hapa nchini, hii ikiwa ni hatua ya pili katika jambo ninalolifuatilia, ni hatua ya lazima kwamba tangazo lazima liwepo kwenye gazeti then utaratibu mwingine...
Habarini za kazi wakuu !
Nimekua nikifanya kazi kwa muda mfupi kwenye mgahawa wa wazazi wangu kwa kusimamia wafanyakazi pindi wao wanapokua busy pindi nikiwa likizo. Mgahawa ni mkubwa na upo Mbarali Mbeya na kuna wafanyakazi watano, na daily income biashara ikichanganya ni zaidi ya laki 5 hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.