Nimepata mail iliyo na tuhuma kuhusiana na BOT.Je kuna ukweli wowote kwenye mail hii|?
Hii ni habari halisi na ya uhakika kutoka ndani ya BOT. Je unawajua walioajiriwa kusimamia uchumi wa nchi yetu na kutuletea mafanikio? Pokea taarifa ya wateule hawa.
Nakutajia kwanza wachache ili wewe na...
JK awaamsha wapinzani
na Mobini Sarya
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kutoa kauli akijibu tuhuma zilizotolewa na viongozi wa upinzani dhidi ya viongozi kadhaa wa serikali, wapinzani hao nao wamejibu na kusema kauli ya Kikwete inalenga kupotosha kile ambacho wao...
Mbunge maarufu CCM matatizoni
na Martin Malera
MBUNGE wa Iramba Mashariki, Mgana Msindai (CCM), anasakwa na polisi kwa tuhuma za kujipatia zaidi ya sh milioni 191 kwa njia ya udanganyifu, kutoka kwa mfanyabiashara Joseph Mushi.
Mfanyabiashara huyo ambaye ni Mtanzania anayeishi...
Safari ya Kapuya India yazua jambo
na Mwandishi Wetu
UAMUZI wa kumpeleka Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Profesa Juma Kapuya, nchini India kwa ajili ya matibabu kufuatia ajali aliyoipata jimboni kwake hivi karibuni, umelalamikiwa na baadhi ya watu.
Watu kadhaa...
Waliopania kumshitaki Dk. Slaa waendelea kujiandaa?
na Happiness Katabazi
HADI jana hakuna hata mmoja miongoni mwa watu waliotajwa wakituhumiwa kuwa ni mafisadi, aliyekuwa ametekeleza azima ya kumfungulia mashitaka Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod...
Ziara za mawaziri mikoani balaa
2007-10-08 09:27:14
Na Waandishi Wetu
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Bw. Henry Daffa Shekifu, amelazimika kuingilia kati na kuwasihi wananchi wa wilaya ya Hanang wasimzomee Waziri wa Mipango Uchumi na Uwezeshaji, Dk. Juma Ngasongwa, anaripoti Zillipa Joseph wa...
Sheikh Ponda awaponda mawaziri wa Kikwete
na Moses Mabula, Tabora
ALIYEWAHI kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, jana aliingia matatani baada ya kukwaruzana na wananchi katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Batilda Burian...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.