Poleni na majuku! Binafsi mi ni mwajiliwa wa halmashauri moja kama mwalimu mwenye shahada ya elimu.pia nina post graduate diploma ya ununuzi na ugavi. Nina mambo mawili nayoomba mnijuze; je, kwa kuwa nina post graduate diploma ya fani mpya ninaweza kuruhusiwa kubadili ajira yangu na kuhamia...
Natumai kozi zinajieleza zenyewe, shida yangu kubwa hapa mi kufahamu utofauti wa kozi hizo mbili hasa katika value na mambo mengine kwani nataraji kusoma moja wapo hivyo ni vyema nikapata ufafanuzi kabla ya kutuma application.Note. Msc. ni ya mzumbe na mba ni inayotolewa na IAA wakishilikiana...
poleni majuku wote wadau wa jukwaa hili hasa wale ambao ni procurement professionals.
Kwa ufupi,napenda kutumia nafasi hii kuwatafuta wote ambao wanajiandaa na mitihani ya chartered Institute of Procurement and Supply hasa waliopo MWANZA. Binafsi nataraji kufanya mitihani hiyo hapo mwakani...
Naomba kufahamishwa kama kuna mtandao wowote wa simu unaotoa unlimited internet kwa masaa fulani kwa sasa.Pia kama kuna njia mbadala naomba kujuzwa. kalibuni.
Mada yajieleza.Naomba kufahamu kati ya kozi hizo:accountancy na procurement yenye kulipa zaidi kwa misingi ya mazingira kazi yenye kutoa mwanya wa kutengeneza pesa zaidi ya nyingine.Kalibuni.
Kichwa chajieleza.Bachelor ya elimu kusoma post graduate diploma ya account pasipo back ground yoyote ya busness subjects. Naomba mwongozo maana nina dogo anahitaji sana na lengo lake ni kusoma kozi hii pale SAUT.
Ni kipi kati ya marketing au account kina mvuto zaidi katika soko la ajira la sasa na hata kujiajili hasa ukizingatia mtu anayesoma Masters in Busness Administration na kutaka kufanya option kati ya kozi hizo.
Kama kichwa kinavyo jieleza.Naomba kufahamu ni wapi kati ya cbe,t.i.a na iaa naweza pata elimu nzuri katika fani ya ugavi(procurement & supply management) hasa katika kiwango cha post graduate diploma.Kalibuni!
Ninataraji kujiunga na masomo ya postgraduate diploma in procurement and supply mwaka huu.Ombi langu ni kufahamishwa juu ya chuo kitakachonifaa kati ya Tanzania institute of accountancy au Institute of accountancy Arusha.ningependa kupata sababu za hoja zako ili nifanye uamuzi.Asante.
Naomba ushauri juu ya chuo bora cha kusoma Postgraduate diploma in procurement and supply management hapa Tanzania.Je,katika mitihani ta bodi ya ugavi,mwenye kiwaango hiki cha elimu anaanza na 'level' gani?Nafungua mlango kwa ushauri zaidi na mjadala juu ya kozi hii.Kalibuni
Naomba mwenye kufahamu 'modules' za kozi ya post graduate diploma in procurement and supply katika chuo cha Institute of Accountancy Arusha.Je, kwa mwenyeshahada ya elimu anaruhusiwa kusoma kozi hiyo?Nawasilisha
Ndugu wanajamvi naomba kujuzwa juu ya chuo nachoweza soma post graduate diploma of law na sifa stahiki za kujiunga na kozi hiyo. Na je,kozi hiyo inaweza kunifanya kuwa wakili wa kujitegemea?Nitashukulu!
Ninashahada ya elimu ' upper second class', malengo yangu ni kujiunga na masomo ya post graduate diploma in procurement and supply au procurement and logistics pale NIT ingawa hadi sasa sijui nisome ipi kati yaa hizo.Hivyo, naomba kufahamishwa utofauti wa kozi hizo na ipi ni bora zaidi kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.