Ni kweli kabisa na mimi naunga mkono hii hoja.Ila Noboresha hilo jina la chuo ulilolipendekeza:Hilo jina lianze kabisa hivi:EDWARD LOWASA,MONDULI TEACHERS COLLEGE.
Hapa Tanzania, kuwa huru kutoka makucha ya CCM ni mpaka hapo vyombo vya ulinzi na usalama vitakapogawanyika (kwamba, wengine waiunge mkono CCM, na wengine zaidi ya nusu waseme kuilinda CCM, nooo! Hata raia wazalendo ndani ya nchi, hata na nusu ya CCM au zaidi ya moja ya tatu, wote kwa pamoja...
Pia Mzee wetu kinana amesahau/ameogopa kusema kwamba,2015 wakati wa mkorogano wa kumtafuta mgombea u-rais
wa CCM,huyu Dr.Nchimbi aliibukia team Lowasa.Mwenyekiti wake wa CCM(JAKAYA)alipoingia ukumbini kwenye kikao cha kupitisha jina la mgombea wa CCM,..Dr Nchimbi alimuimbia Lowasa kale...
Mbona hujaweka CV yako mkuu.Ili sisi tunaomshauri Boss,angalao tuone academic qualifications zako.Isije ikawa High School ulisoma combi ya HKL,na Varsity ukasoma BA in History,Halafu unataka kuwa MD wa Petrol & Gas !
(1)Wekeni tume huru ya uchaguzi ya watu ambao sio waajiriwa wa Serikali,Muone Dozy mtakayobugizwa.
(2)Halafu pia, hebu waacheni Police wawe Neutral wakati wa kurudisha forms za wagombea,Wakati wa kupiga na kuhesabu kura,pia wakati wa kujumlisha matokeo vituoni na kwenye ....na kwenye kuingiza...
Nauza gari, Suzuki Escudo.
Year of manufacture 2006. Ukubwa wa Engine CC 1990. Reg No. BVK.
Imetembea 185,000 kms. Ipo katika hali nzuri sana. Imekuwa ikiendeshwa na mtu mmoja tu mwanamke, Kwenda Ofisini na kanisani na kurudi home kwa hapa DSM. Haijawahi kwenda Mkoa. Bei 9 mil na laki 5 tuu...
Natafuta Standing Fan (Fan ya kusimama yenyewe) Iliyotumika. Iwe Fan imara na siyo ya kichina. Ikiwa ni ya India, Uturuki etc ingependeza zaidi.
Iwe na ukubwa size ya kati. Napatikana Boko Magengeni DSM. Mobile 0714000068
Mimi Naona tuitumie ile Account ya Amina Chifupa Foundations kukusanyia michango ya namna hii na inayofanana nayo,Badala ya kuanzisha Foundation nyingine.Kitakachopatikana,Wagawane hao watu wote mashuhuri wenye shida na matatizo ya ugonjwa n.k.
Mimi nadhani Makonda ni kama amekiuka taratibu katika kutoa haya maagizo anayoyatoa kwa niaba ya chama(CCM) kila anapotembelea sehemu. Maagizo kama haya yanatakiwa yatolewe na KATIBU MKUU WA CCM(Comrade Chongolo) na siyo Katibu mwenezi(Makonda).
Yaani hapa na mimi ndo sielewi.TANZANIA YA LEO KARNE YA 21,AKINA MAMA WANALALA CHINI ILI WAZIRI AWAKANYAGE APITE JUU YAO,na bado Waziri huyo bado halazimishwi na Boss wake kwamba ni Lazima Ajiuzulu ? Utumwa huu,enzi za Nyerere,huyu Nape angekuwa uwaziri hana.Ni aibu kubwa kwa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.