Wananchi wa Tanzania tunakupongeza kwa mazuri ambayo unayatenda. Usikatishwe tamaa na kelele sisi tulioishi muda mrefu na kujua mwenendo wa nchi tunakuona unaenda vyema sana. Furaha, amani, mshikamano miongoni mwa watanzania ni wa hali ya juu.
Uhuru wa kuabudu, uhuru wa kutoa maoni, hata uhuru...
Ndege inaenda vizuri sana; changamoto ni za kawaida kabisa. Hongera rubani mkuu. Usiogope wapingaji na wanye maneno ya kubeza hata wakiwa wao marubani, watajibeza wenyewe maana hiyo ni hulka.
Leo nimepita hospitali ya Muhimbili nimefurahishwa sana na maboresho ya miundombinu kuanzia utaratibu wa kuingia na kutoka magetini, vibao vya ishara, sehemu za kupumzika wageni/wagonjwa, huduma nzuri ya Askari wa SUMA JKT, majina ya wards nk.
Hongera sana uongozi wa Hospitali ya Muhimbili...
Siasa zinabadilika kwa kasi sana, adui yako asubuhi, ni rafiki yako jioni kadhalika rafiki yako mchana, usiku anaweza kuwa adui yako. Ni ngumu sana kuelewa wakati gani Tundu Lisu anazungumzia machungu yake kama mtu ( binafsi) na machungu ya chama chake au tuseme ya ''wananchi''
Upepo wa kisiasa...
Hata kujua kuwa kuna hela ziko China si ni mwenyewe alituambia? yaani alivyokuwa anaongea vile tayari mkono wake ulikuwa pale siku nyingi.( unajua serikali inavyofanya mambo yake?)
Mambo mengi yametajwa kuhusu mafanikio ya Mhe. Samia Suluhu Hassan katika miaka hii miwili, lakini kuna jambo kubwa sana ambalo bila kulisema hayo mengine yote ni bure na hayana maana. Ni kuhusu kujenga FAMILIA.
1. Rais ameunganisha familia- Watu wengi walikuwa magerezani, mahabusu...
Miaka miwili baadaye wengi wanakubali kuwa rubani ameimuda ndege na umahiri wake unaanza kupita hata viwango vile............................................maana hata upande wa pili wamekubali
Daaah naona rubani amedhibiti ndege barabara......marubani wakongwe walijaribu kuitikisa lakini kawaonyesha umakini wake mkubwa sana. Hongera sana rubani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.