Leo ndio numejua
Of all people nilidhani Mwanakiji ni independent minded lakini nimetonywa kuwa ana "tow the line" anafuata instructions toka kwa "JAMAA YETU"
Naamini Membe kashajipanga vilivyo
Sasa bora tujakua team yake kuanzia kwenye media, online media, serikalini, sekta binafsi, ndani ya chama, nje ya nchi etc
Hiii ni muhim tukajua ili akipata urais tusijeanza lalamika ohhh sijui nani katokea wapi au akianza kulipa fadhila tukaanza kulalamika...
Hii inaingia akilini
tatizo watu wanataka serikali kuu iwafanyie kila kitu
tazama formula ya majimbo USA na nchi zingine. lazima mchangamke na naamini serikali inaruhusu haya
Ukisikia kuzibiana ndio huku
Kama baraka anajiona uwezo anao wa kuendeleza bumbuli kwa nini asichukue forms?
Nyinyi kila kitu mnataka ku monopolize hii haiwezekani enzi hizo zishapitwa na wakati
mbona hamuulizi profile yake?
Alizaliwa wapi? kasomea wapi? alienda JKT wapi? kazi kafanya wapi? kaoa mara ngapi? ana biashara zipi? makampuni yake ni yepi? pesa alianza kuzipata lini? kwa njia zipi? ana watoto wangapi? anaishi wapi? wazazi wake ni akina nani? ukoo upi? familia ipi? anahusikaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.