Mmeamshwaje wakuu poleni na mvua zinazoendelea kutufikirisha.
Jana niliangalia interview ya Milad na baba wa Gadna nachelea kusema baba yule yupo kwenye mtikisiko na msikitiko mkubwa sana.
Kilichonifikirisha na kuniuma ni yeye kusema siku hiyo alimtafuta mwana akamkosa akaenda jumuiya akiwa...
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamuhuri.
Nna kaunjezi kapo kwenye level ya kupaua sasa pesa ya mbao ipo mfuko wa shati ila ya bati itapatikana baada ya kama mwezi na nusu.
Mimi nilitaka kuweka hii pesa mpaka ninunue bati ambazo nitaomba ushauri muda ukifika. Ila kwa sasa naomba ushauri maana...
Wakuu samahani am just very new here sasa naomba msaada nimechelewa kumuomba ruhusa ya maternity leave muajiri yani ile miez mitatu kabla imepita nimeapologize na kuomba afikirie kunipa hizo siku zote anataka kunipa just 6 weeks naomba msaada kisheria nifanye nini nipate siku zangu zote. Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.