Katika jiji la Arusha, kituo kikuu cha mabasi kinamilikiwa na chama cha mapinduzi(ccm) na wala sio chini ya jiji. Je wana wa Arusha hili mnalitambua?
Katika hali ya kustaajabisha, kituo hicho hukarabatiwa kwa gharama za jiji la Arusha.
Ndg zangu wanajamii nisaidie kwa hili la mgawo wa umeme na bili isibadilika. Kabla ya mgawo matumizi yangu nyumbani ni unit 85-100, cha kushangaza mgawo ulipoanza rasmi ambao hadi siku mbili hakuna umeme, bili ni vilevile. Je, kunani tanesco?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.