Wewe Zomba!!kweli ni mweh* na huna akili sawasawa hivi unajua 200000 USD ni sawa na shilingi za bongo?na hayo mashangingi yanagharimu kiasi gani na tunayo mangapi hapa nchini?mbona mvivu wa kufikiri ww?
Jamani mko wengi!!idadi ya mwanaume 1 kwa wanawake 4!!sasa tufanyeje hawa wengine watapataje huduma mweeeeh!!wahurumieni na wenzenu wapate huduma nao eeehh!!mipododo/mipipi iko michache jamani na nyie mko wengi !!
mmmh kaushauri kazuri sana!!!tatizo ataweza? maana atapandisha magadhabu yake aanze kumwaga maji hovyo chumbani, atupetupe nguo na kama kuna laptonga mezani basi atataka akapige chini kapasuke mmm mweehhh!!!
eeeeehhh!!ebwanaaaeee nimegonga mashine zote mbili nyeupe na nyeusi, lakini kitu cheusi aaaaaahhh babaaa!!ni noumaaaa!!??kina rangi flani nyekunduuuuuu kwa ndani pembeni ya mashav* aaaahhh baba usiombe!!alafu iwe safi kitu mnato weweeeeeee utauza ile nyumba yenu ya bonyokwa iliyoishia kwenye linta!!
Kwa jinsi ninavyoona mm hii nchi imeshauzwa sasa!!mm naona poa tu ikiwezekana kila idara igome potelea mbali kila mtu ajijue atakapokwenda aaaaah nchi gani hii ya ajabu,viongozi wamekuwa kama wanatoka mataifa mengine wamekuja kufanya kazi humu kwa muda tu wachume pesa waondoke!!watu wote ni sawa...
Haka kautafiti kanaukweli ndani yake ni kweli tembelea taasisi nyingi zenye wanawake wasomi wengi wao wanachapwa hovyo tu hawajaolewa!!wanabadilisha wanaume kila kukicha, truely promiscuity!!compared to males!!
INGAWA POST HAIKO SEHEMU YAKE!!
Kweli Jestina!!tumechoka watanganyika kusikia habari za muungano!!what is so special with muungano!!aaaaaaah nendeni zenu tumewachokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Hovyooooooooooooooo!!!!watu wanaolala hovyo akili zao huwa si nzuri,hivi jamani yule mzee isingekuwa mbunge na kuwa waziri ingekuwa mkulima tu pale Bunda hivi si angekuwa completely chimpanzee?
ha ha ha ha ha ha ha aaaaaaaaaa daaaah Jackbauer!!nimekubali umeamua kutuvunja mbavu!!ni sawa maana ikulu sasa imegeuka pango la walanguzi na wachumia tumbo!!acha ikulu kwakila watakachojisikia kusikilizisha umma basi watupe tu!!
Nimemkubali sana Wab!!suala la jimbo fulani kuja kuwa nyuma kimaendeleo itakuwa ni mapungufu ya jimbo husika na watu wake. Lakini ukifikiri kwa makini sana hii sera ni nzuri ingawa kasoro za hapa na pale hazitokosekana, ukweli ni kuwa kila jimbo linaweza kujiletea maendeleo yake vizuri tu jamani...
ww big niga ni mtanzania kweli ww!!??hivi unadhani hao magamba wako huwa wanashinda kawaida?ni full magumashi ndio maana majaji wenye akili huwa wanatengua ushindi wao!!!au umeahidiwa ukuu wa wilaya kwa kuja kutetea magamba hapa!!nawa hate watu kama ninyi!!!!sikujui tu ningekumwagia tindikali!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.