Hili jambo kwa kweli labda naweza nikaonekana nna roho mbaya au Ant-Social, ila kiuhalisia katika utu uzima wangu huu, kama ikitokea safari fulani nahitaji kwenda sehemu kwa siku mbili tatu...sipendi kufikia kwa rafiki au ndugu, lakini naweza kuwapa taarifa kwamba ntafika Mkoani kwao na tunaweza...
Maisha yamebadilika sana...tulizoea kuwapa zawadi za pipi, chupi, saa, wapenzi wetu lakini sasa hivi wanataka i phone 15, gari kali, kulipiwa kodi etc
Vijana wana stress za maisha, lakini wakati huo huo wana stress za kumantain mahusiano yao, wako tayari wasile ili kuwafurahisha mademu zao...
Wakuu,
Naomba msaada, nafanyaje ili kuzuia hii hali ya nyasi kuota kwenye maungio ya paving blocks ambazo zimekwishawekwa?
Kadri mvua zinavyonyesha majani yanastawi sana kwenye maungio inakuwa kama sina pavements kabisa ndani ya Nyumba.
Naamini ntapata msaada juu ya namna ya kutoa nyasi na...
Tukubaliane duniani kote kwa sasa kuna changamoto kubwa sana ya Mapenzi ya kweli, ndani ya miaka 20 dunia imebadirika kwa kasi sana kimatendo, hisia, busara, na namna watu wanavyochukuliana..
kila Mwanamke awe mbovu, msimbe, mzuri, mwenye shape na asiye na shape, anajitutumua kuwaambia wanaume...
Kwa ma legend na watu ambao tuna experience na tendo la Ngono mnaweza kuungana na mimi kwenye hili.
Kwa ufupi, nimejaribu taste za kila aina, wazungu, wabongo, wanyarwanda etc. Nilichogundua ni kwamba sisi wanaume huwa tunayakuza tu Mambo, mbususu ni kitu cha ovyo tu na wala hakina sababu ya...
Vijana wengi na watu wa mikoani, na pengine kwa kukosa Exposure hudhani Watu wanaoishi Dar wanafaidi sana pengine kwa Maisha mazuri, hali ya hewa nzuri na pesa za kukidhi kila mahitaji Yao.
Lakini asilimia kubwa ya watu Dar es salaam wanaishi mazingira magumu sana, Chumba kimoja kilichojaa ndoo...
Mhe Rais,
Kwanza nikupongeze kwa nia yako ya dhati ya kupambania maslahi ya nchi na watu wake. Umeonyesha utu, ari, na malengo ya dhati ya kuhakikisha mambo yanaenda na kutekelezeka kwa wakati, ninakupongeza.
Mhe Rais,
Katika mikutano yako kadhaa na waandishi wa habari, umekuwa ukionyesha...
Ni wiki ya 8 sasa Vijana wanapambania dolla laki moja kwa mshindi Mmoja pekee atakayepatikana.
Washiriki wametoka mataifa mawili, Nigeria na South Africa.
Walianza wakiwa 24, 12 kutoka SA na 12 Kutoka Nigeria.
Baada ya wiki ya kwanza, Big Brother aliwagawa katika pair ya watu wawili wawili...
Propasal za "Una mpango gani na mimi" natamani uwe Baba wa wanangu, Oooooh unajua sa hv na mimi nataka niwe na ndoa yangu"
Unakuta mtu tayari ni Single Maza anakulazimisha kabisa watoto wake watatu wakuite Baba kwa Lazima,
Mara Njoo umuone mtoto anaumwa anataka aone angalau Mapenzi ya Baba...
Umiliki wa magari kwa sasa ni hitaji Muhimu sana kwa maisha yetu.
Na ni ndoto ya kila mtu kuwa na gari kwa sasa, kijana wa kiume na wa kike ukimuuliza katika "To do Goal" yake Kununua gari ni moja ya Lengo lake.
Soko la magari mengi yanayoingia nchini ni kutoka Japan na ni gari zetu hizi za...
Kwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.
Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.
Katika kuendesha hii gari...
Nimepitia makala mbali mbali kuhusu cooling system za kwenye magari,
baada ya kumpa jamaa yangu gari kwa zaidi ya miezi miwili ( nilisafiri mkoa wa mbali kikazi) Nimerudi baada ya kuchukua gari, nime experience kitu kipya, nimetoka vzuri tu lakini baada ya kutembea Km kama 10 gari ikaanza...
Huwa najitahidi sana kuwa Positive na kuwachukulia hawa watu kama wafanyakazi wengine wenye wajibu wao kisheria, Lakini hawa watu wamejiweka kwenye Zone Yao ya URAFI, KUKOSA UTU, TAMAA NA UPUMBAVU,
Imagine hawa watu wako pale kujipatia elfu 5 na elf 2 za watu bila huruma, hawanaga utamaduni wa...
Huwa najitahidi sana kuwa Positive na kuwachukulia hawa watu kama wafanyakazi wengine wenye wajibu wao kisheria, lakini hawa watu wamejiweka kwenye zone yao ya ULAFI, KUKOSA UTU, TAMAA NA UPUMBAVU.
Imagine hawa watu wako pale kujipatia elfu 5 na elfu 2 za watu bila huruma, hawanaga utamaduni wa...
Hili linawezekana ikawa ni kwa sababu ya tabia yangu ya sasa baada ya Kuyumba kiuchumi, naweka mafuta ya 30, 20 mpaka 10.
Gari yangu ni 1.8L petrol, trip zangu nyingi ni town trip then home ambazo hazizidi Km 13, nilizoea nikiweka mafuta ya 40k ambapo nilikuwa napata karibu lt 17 niliweza...
Wamiliki wa magari wameongezeka, siku hizi kila Mtu ndoto Yake ni kumiliki gari, Miongoni Mwao kuna madereva wabaya, kuna waliojifunzia uchochoroni baada ya Wiki anaingia barabarani...
Nje Ya hapo kuna Bodaboda, kuna watu wanaotembea na stress/ depression, kuna waendesha baiskeli, kuna malori...
Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana...
Sheria ya utumishi wa Umma inasemaje kwa mtumishi ambaye anataka kustaafu kwa hiari kabla ya miaka ile 60 ya kisheria..
Mfano ana miaka 55. ila kwa sababu ya changamoto ya ugonjwa anaamua kustaafu kwa hiari..
Je anatakiwa kufata taratibu gani?
Katika kipindi ambacho anasubiri mafao ataendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.