Hili jambo kwa kweli labda naweza nikaonekana nna roho mbaya au Ant-Social, ila kiuhalisia katika utu uzima wangu huu, kama ikitokea safari fulani nahitaji kwenda sehemu kwa siku mbili tatu...sipendi kufikia kwa rafiki au ndugu, lakini naweza kuwapa taarifa kwamba ntafika Mkoani kwao na tunaweza...
Story ni nzuri sana, inafundisha mengi Mno, ila kuna watu wasenge wasenge wanaume kama wanawake vilr hawawezi kutulia midomo inawawasha sana, Critics kwenye uzi ambao unaona hauna faida kwako ni za kazi gani? Bladfaken adultmen
Maisha yamebadilika sana...tulizoea kuwapa zawadi za pipi, chupi, saa, wapenzi wetu lakini sasa hivi wanataka i phone 15, gari kali, kulipiwa kodi etc
Vijana wana stress za maisha, lakini wakati huo huo wana stress za kumantain mahusiano yao, wako tayari wasile ili kuwafurahisha mademu zao...
Gari yangu nikipark, kwa siku 1 au 2, nikija kuwasha nasikia harufu kali ya petrol ndani na nje ya gari, tatizo nini?
Ila nikiitumia mfululizo nikiwasha sisikii hyo harufu, shida ni ikikaa hata siku 1 bila kuitumia, kesho yake ukiiwasha harufu inatoka
Pole sana mkuu, inashangaza, mtaani kwangu mimi jana maji hayakuwepo, na kila ijumaa na jumatatu hayapo kabisa, uko mtaa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu,
Naomba msaada, nafanyaje ili kuzuia hii hali ya nyasi kuota kwenye maungio ya paving blocks ambazo zimekwishawekwa?
Kadri mvua zinavyonyesha majani yanastawi sana kwenye maungio inakuwa kama sina pavements kabisa ndani ya Nyumba.
Naamini ntapata msaada juu ya namna ya kutoa nyasi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.