Vijana wake 70 ni Kataa ndoa, wakati wameoa na mitoto mitatu mitatu.
Wote ni mabingwa na mafundi wa kuchakata mbusususu.
90%hawamkubali bashite
Wote Wana connection na michongo ya maana
-Rais wao ni Mshana Jr jamaa anakubalika sana
Wote et hawamkubali Lucas mwashambwa ,
Mtu anayefuatiliwa...
Apeleke watoto KWA wazazi wake kama wazazi wanaeleweka, awawekee mdada wa kaz I awahudumie ,avunje aina zote za mawasiliano, aende ustawi aeleze apewe haki ya malezi,
Maana wanawake ni wachawi sana,usikute anapima upepo aongezewe hela
Malez
Malezi siyo degree ,master au doctorate, malezi ni mchakato unaratibiwa na watu wawili wenye jinsia tofauti kudeliver kila mtu kutokana jinsia yao kwenda kwa zao lao(watoto),
Malezi pesa,gari, nguo nzuri,chakula etc unajua why wazungu wanakila kitu lakini malezi ni zero,mtoto wa miaka...
Mkuu nani kakwambia mm nimeona sijaoa,ila nasupport Mfumo wa maisha .
Na kwa appearance ,nina appearance ya Kati ya wanawake 10.,sita hawachomoi nikiwa seriously ilà wengine wananitongoza wao.
Sijisifu nasifu ukuu wa Mungu wa kunipa muonekano wa kishababi,
Hivyo lazima nioe mke kutoka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.