microsoft security essentials ndio mwisho wa matatizo yote ya virus nimedownload zaidi ya 400GB (Including games,cracks,pirated softwares) na sijawahi kusumbuliwa na virus wa aina yoyote.
tehe tehe hao startimes wameshanikomesha, kwanza quality ya channel zao ni mbaya (hasa upande wa sauti) nimeamua kuachana nao sasa hv nikitaka burudani nanua zangu bundle na-download music videos na movie from the internet,habari napata humu humu kutoka jamiiforums na sometimes kwenye radio...
Instead of using code kuna alternative kuna program inaitwa easy BCD(neosmart) just google it utaipata....ina simplify the whole process ya ku-delete any entries za "boot-loader",It has a very simple user interface...my advice wakati una delete hizo entries rename them kwanza...
What experience do you have in programming ??..the mistake most people make is thinking that programming is about learning a certain programming language...programming is about learning how to solve problems what data structures and algorithms you are going to use in solving problems,what...
<br />
<br />
Apple are a very clever company when it comes to marketing, wana-technics nyingi sana za kutangaza products zao na kuzifanya zionekane the best kwenye market...and price zake zinakuwa juu because wame-specialize in making high end devices only (maybe with the exception of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.