Katika kujiongezea kipato cha ziada mbali na mapambano ya ngumi nje na ndani ya nchi bondia huyu kutoka Gym ya Naccoz ameamua kujikita pia katika ujasiriamali.
Hivi majuzi ameanza ujasiriamali kwa kufungua mgahawa unaoitwa Naccoz maeneo ya Mabibo Makutano,
Ubungo,Dar es Salaam.
Amewaomba...
Hali hii imempata akiwa kalewa chakari na kuzima kabisa.
Amejikuta kakung'utishwa kila kitu mpaka kushindwa kulipa bili baa ya bia na vyakula alivyokula. Ilimbidi aende hotelini kuuza vitu vyake vya thamani ili alipe bili.
Msanii huyu ulevi utampeleka pabaya.
Kwa wale wanaopenda wanyama,nchini Kenya kuna fursa kubwa ya kulea wanyama kama paka na mbwa.
Malipo ya kazi hii ni shilingi 1000 ya Kenya sawa na shilingi 18000 ya Tanzania kwa saa.
Kazi ya mlezi wa mnyama ni kumpa chakula ,kucheza naye, kumsafisha na kumpeleka hospitali mnyama
Kabla...
Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.
1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.
2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.
3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.
3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.
Kuna...
Sasa dharau kwa mh.Rais wa JMT ,Bibi Samia Suluhu Hassan zimevuka mipaka.
Mh.Rais akiwa ziarani mkoa wa Arusha amelalamikia watu ktk mitandao wakimtuhumu kwa kumuambukiza virus vya Corona makama wa rais wa nchi ya Marekani Bibi Kamala Harris alipokutana naye alipokwenda Marekani kwa ziara ya...
Huko France kuna punguzo kubwa la flat tv, yaani bei ni euro 2 sawa na 4900 pesa za Kitanzania.Flat tv aina ya Samsung inchi 65.
Hapa Bongo bila ya zaidi ya milioni 3 hupati
Mufti wa Tanzania,Abubakary Zuberi amewatangazia waumini
wa dini ya Kiislam nchini Mwezi haujaandama, hivyo Waislam wakamilishe funga ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani kesho Jumatatu, hivyo sikukuu itakuwa keshokutwa Jumanne tarehe 03/05/2022.
Kwa hiyo kesho watu waendelee kupiga kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.