Tarehe 26 mwezi huu wa nne,sherehe za Muungano,Lazima habari za muungano zitarushwa kwa wananchi,kuwaambia swala la serikali tatu au mbili,Tarehe 27 zitatolewa katika media yaani magazeti,redio mitandaoni na watu watasoma.
UKAWA wameruhusiwa kuitisha mkutano huko zanzibar tarehe 30 mwezi wa...
Naona ndoto za kupata katiba mpya kwa sasa ni ngumu.Hebu jiulize maswali haya.
1 Kama theruthi mbili haitapatikana hasa Zanzibar itakuwaje?
2 CUF ndo kizingiti zanzibar dhidi ya selikari 2 hiyo theruthi haitapatikana je wanaweza kulegeza kamba ili tukubaliane kutokubaliana?
3 Kama katiba...
Mjadara wa kura ya siri bungeni ulileta msuguano sana bungeni.Watu wengi ilionesha wanahitaji kura ya siri,hasa vyama ya upinzani wakiongozwa na kiboko yao CHADEMA.
Lakini hebu angalia upigaji huo ulipofika kuwa kila mtu apike anavyotaka yaani siri au wazi,waliopiga siri hawafiki hata themanini...
Kuna watu wanachangia kuhusu hotuba ya mh kikwete hasa kuhusu watu wanaotaka serikali tatu,kuwa ni watu kidogo sana,ni asilimia 61 ya wale waliozungumzia muungano ambao ni watu 27000,na waliotoa maoni ni laki 39000 ya YA WATANZANIA.NA 27000 WALIOTAKA SERIKALI 3 NI 61%YA WATU 27000,.JE WATANZANIA...
Tafadhari waliosoma science na kupata alama hizo watasoma miezi 3 masomo yake mawili ya sayansi na kufanya mtihani akifaulu anajiunga na diploma ya ualimu mwezi wa saba mwaka 2014.
Chama cha CHADEMA JIJINI Mbeya kinapoteza umaarufu kila kuchako.Hiyo ni taarifa tu.Acheni malumbano, kama mnatetea maslahi ya wananchi.Sugu yuko hoi inawezekana akawa hajijui, au anajua.Mlijijenga vizuri ila hamfanyi ukarabati wa Wanachama.CCM WANAJENGA UKUTA WAO MTASHINDWA KUUBOMOA.HEBU...
Hivi kama CCM wataangukia pua na CHADEMA wakashika hatamu na viongozi wake wakawa hawahawa wa sasa.Wataalamu naomba mnipangie baraza la mawaziri.Rais si anajulikana haya edelea,ukimaliza hebu tathimini utendaji wake.
Nimesikia mara nyingi kuna mikoa hapa Tanzania imeongezeka.Hivi sasa Tanzania ina mikoa Mingapi naomba msaada huo.Ingependeza mngenisaidia Ramani mpya ya Tanzania.
:loco:Nchi haiendi hii ndugu zangu tutaaibika,wasomi tunao,wanasiasa tunao ,viongozi tunao.Tutulie tuangalia namna ya kuiokoa nchi hii hatujachelewa.Tunapoteza muda mwingi kupiga kelele,najua wote hali ya nchi tunaiona ndio maana tunapiga kelele kila kukicha.Sasa hizi nguvu tujipange kuiokoa...
Serikali imeanzisha utaratibu mpya wa kuhamisha watumishi wake kupitia TAMISEMI utaratibu huu ni mgumu sana kwa mtumishi kuutekeleza kwa wakati.hususani walimu.
1.Unaomba kibali kule inakofanyia kazi,upitishe kwa mwalimu mkuu,afisa elimu wilaya na kwa mkurugenzi.
2.unapeleka barua hiyo kule...
Naomba kama kuna mtu anataarifa za
Waliochaguliwa kujiunga na masters katika vyuo vifuatavyo kama bado basi yatatoka lini?
1 UDSM
2 OUT
3 MZUMBE
4 UDOM
Wanachuo wote wa Diploma ya Ualimu wanatarajia kuanza mitihani yao ya mwisho jumatatu hii.Tunawatakia kila la kheri wote waweze kufauru vizuri ili waweze kuajiriwa. Tukumbuke wanachuo hawa wote wamesoma mwaka mmoja chuoni na mwaka wa pili wamefanya mafunzo hayo ya kufundisha kwa miezi sita, kwa...
Katika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Rais ni JK
Makamu wake ni Dkt Shain
Namalizia na Mtoto wa Mkulima kama Waziri Mkuu.
Naomba uiendeleze safu yetu hiyo hadi kufikia Mwenyekiti wa serikali yako ya mtaa kama unamfahamu.
Na ni serikali ya Muungano wa Nchi mbili.
JE RAISI WA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.