kuwa wavumilivu swala hili linashughulikiwa limekumbana na changamoto ambazo ni tata kidogo.kuna wanachuo wengine wana daraja la tatu la cheti cha mtaani,achana na wale walioingia na vyeti visivyo na sifa,kuna watu wanaonekana wanasifa lakini vyeti ni vya manzese(kughushi) kwa hiyo uchambuzi...
Open University ipi unayoisemea hapa. Open university unasoma na kwenda kufanya mtihani darasani ,Kwa degree hakuna kazi ya kufanyia nyumbani zote zinafanyika darasani.Tofauti na vyuo ambavyo wanachuo wanafanyiwa kazi wao inakuwa kukusanya tu,presentation wanafanyiwa .
OUT si ile ya enzi zile...
si yazamani hii picha ila imetengenezwa zimeunganishwa picha nyingiii zaidi ya 3.ona ukubwa wa bendela imefunika watu wengiii na umbali huo bendera haiwezi kuonekana kubwa hvyo.chaajabu IMEBEBWA KWA MKONO MMOJA.danganya toto na kujifariji.TULIENI NA KAZI ZENU HUM NDANI MNADHARIRISHA CHAMA.
huu ni mkakati wa kuvuruga vyama vya upinzani,wamepanga wenyewe bila kujitambua. Wanasaikolojia angalieni sura zao tu.kila mtu anawaza lake hapo.ngoja tuone
Ukiangalia kazi iliyofanyika uchaguzi mkuu uliopita,kwa upande wa upinzani CDM walifanya vizuri na ningependekeza katika uchaguzi ujao DR SLAA asimame kwa UKAWA,zaidi ya hapo itakuwa ngumu,kwani CHADEMA tayari wana mtaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.