Habari wanajamvi,
Natumaini kuwa mnaendelea vizuri. Moja kwa moja kwenye mada...
Nakumbuka nilikuja kwenu na wazo majuzi. Nilitamani kutengeneza mfumo utakao wawezesha wateja kununua kwa bei ndogo na wauzaji kuwafikia wanunuzi moja kwa moja.
Nikiwa "chini ya maji", nilipitia phases kadhaa...
Nahisi shida siyo hata uwepo wa eCoomerce, bali trade assurance. Kuna uzi nimeuandika muda so mrefu tunaweza kuchangia wote: Usalama wa Kununua Vitu Mtandaoni (Online Trade Assurance) Tanzania
Habari wanajamvi,
Natumaini wote tunaendelea vizuri.
Moja kwa moja kwenye mada...
Nimekuwa mdau wa kununua vitu mtandaoni kwa muda mrefu. Imenilazimu sana kumtuma mtu endapo nafanya biashara na "mgeni" nisiyemfahamu. Kwa mfano, mwaka jana nilinunua laptop kwa mdau mmoja Mwenge, DSM. Ilinibidi...
Kuna jamaa anajiita Jack Ma. Hajui chochote kuhusu programming, bali anatusua. Sio lazima ujue programming. You just need kujua kunamange watu. MAana watu ni rasilmali, wanaovutia wenye rasilmali wanaoweza kuinvest in your business,
Alisahau kukwambia umuhimu wa soft skills. Na pia kwamba online success comes when preparedness meets oppotuninity. Alisahau pia kukwambia kuwa the success isn't going to be instant: lazima iwe process fulani tangu kuanza na clients ambao wanadunduliza hadi kupata mafanikio ya kweli, na utamu wa...
Habari wanaJF,
Natafuta simu za batani kwa ajili ya mteja mkoani. Naomba connection
1. Endapo wewe ni muuzaji, tuwasiliane. Nipe namba yako na duka liliko, ntakutafuta. Uwe na whatsapp ili niweze kukagua simu zilizopo kwa ajili ya msururu ya wateja nlio nao.
2. Endapo wewe ni winga/winger...
Hello. Asante kwa kuwasilisha.
Unaweza kufungua account na kampuni ya wise.com. Humo kuna option ya USD ambayo unaweza kutumia kulipia.
Aidha, VISA/Mastercard inaweza kufaa. Natumiaga ya MPESA bila tatizo lolote.
Hiyo issue ya kutaka kulipa dollar physically itakuchelewesha bureee.
List yangu ya machimbo yametokana na connection nlojenga na wafanyabiashara wenza. Of course according to ushauri nimeona haja ya kuexpand kwa nlichokuwa nacho, kuongeza na kupunguza ili kuwa na list iliyonyooka na yenye bei nafuu.
Aidha, idea ya quality assurance nimeiona pia, na naifanyia kazi.
Asante kwa challenge hii baab kubwa. Hiyo hiyo trade assurance ndo ya kwangu. Technically mimi ni "digital winga", na dhumuni langu ni kukeep digital track na social proof kuwa wazo langu linafanya kazi.
Asante kwa maoni mazuri. Wazo langu linahusu vitu vingi. Escrow, quality assurance, sales patterns nk kujaribu kumsaidia mteja kufikia soko kwa haraka, kwa usalama na kwa uhakika.
Swali zuri Freyzem
USP yetu ni kuleta bidhaa kwa namna ya unafuu wa bei. Tutakuwa na "jicho la ziada" kuwasaidia wateja wetu kupata sio machimbo na namba tu, bali kuwa up to date na flash sales. Aidha, tutalink na trusted ways ya kuwafikishia mizigo at affordable rates.
Difference na akina...
S
Swali zuri. User discretion. Kuna haja ya kujiridisha na unayenunua kwake. Tutafanya our best kujaribu kupata details za kutosha kuhusu kila chimbo. Hata hivyo, tunafahamu kuwa ubinadamu upo, na kuna vigezo fulani vinapaswa kutumiwa kujiridhisha.
Tutaweka verification badge at some point, na...
Niko Morogoro mkuu. Ila implementation plan ndo hiyo. Kuwa free kuikosoa hapa, kwa faida ya wengine pia. Ila, kama unataka mawasiliano zaidi, namba ni 0742308110
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.