Jamani naomba ushauri,
Mimi nina mchumba wangu ambae naishi nae lakini hatujafunga nae ndoa, huu ni mwaka wa 3, hajapata mimba na baada ya kwenda hospitali amegundlika kuwa ana matatizo na hawezi kuzaa! Kumuacha namuonea huruma kwani si kosa lake, nifanye nini?
Ushauri, matusi no plz!
Ndugu watanzania wenzangu, mim ni Graduate, nina bachelor ya computer science (BCS)..nina interest na uwezo wa kufundisha masomo ya computer kwenye shule/vyuo...kwa anaehitaj mwalimu wa computer plz tuwasiline kwa no 0714141815. Akhsanteni....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.