Habari ndugu zangu wiki kama moja iliyopita mwanangu alilazwa na akachomwa sindano nyingi sana mikononi ni mtoto wa miezi 11.
Sindano zile zilimpelekea kuvimba mkono kwa juu nilivyowauliza hospital wakanijibu hali hiyo itaisha nimesubiri kwa muda wa siku nne sioni dalili za hali hiyo kuisha...
Habari zenu msaada wenu pls kwa hili.
Miezi mitatu iliyopita nilinunua bajaji kwa mtu kwa ajiri ya kufanyia biashara.
Akanipa kadi na nikaenda TRA (DSM)
Ila kutokana kuwa nilikuwa na haraka na naishi mkoani nikaamua kuwatumia vishoka maana bajaji kadhaa nimewatumia.
Nikarudi mkoani ili...
Leseni yangu nitaifunga na kabadili umiliki.
nina wateja wa kudumu wenye bar kubwa ndogo na za kati.
kodi ina miezi minne mbele
Kuhusu madeni ninayowadai wateja yapo japo ni ya kukusanya ndani ya wiki moja tu si wengi.Maana biashara ya jumla mara nyingi hatukopeshi.
DEPO YA VINYWAJI INAUZWA KAHAMA
Nahusika na uuzaji wa bia za kampuni ya TBL pamoja na soda za kampuni ya COcaCola, pamoja na pombe zingine kama konyagi, kvant n.k.Kwa ujumla mzunguko ni mkubwa Ofisi ina jumla ya kreti 350 za bia ni 120 za soda zaidi ya 230 Mauzo ni wastani wa kreti 100 kwa...
DEPO YA VINYWAJI INAUZWA KAHAMA
Nahusika na uuzaji wa bia za kampuni ya TBL pamoja na soda za kampuni ya COcaCola, pamoja na pombe zingine kama konyagi, kvant n.k.Kwa ujumla mzunguko ni mkubwa Ofisi ina jumla ya kreti 350 za bia ni 120 za soda zaidi ya 230 Mauzo ni wastani wa kreti 100 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.