Anaye hongwa huwa siku zote ni mtumwa asiye jitambuwa na kujielewa wa yule mtoaji.
Kupokea kilicho stahili na kilicho cha haki huleta raha ya kweli ya ubinadamu kamili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najaribu kujiuliza lakini sipati jibu! hizo fedha nyingi zinazotolewa kwa siri na bila mfumo rasmi wowote was serikali zitalipwa vipi na serikali (tz) zijazo kwa hao wanao zitowa ?
Ina maana watoaji wanatapeliwa!
Kama wanajenga na kufanya miradi mikubwa ya maendeleo ni vizuri na huo ni...
Mahakama itende na itoe haki ktk hizi kesi ,kwani kuna wengine walizipata kwa haki na kwa jasho lao na hata kwa urithi.
Dhulma huwa haingojei!!! muda wake ukifika huwa haijali nani ni nani na yuko wapi itakufuata tuu at a ukiwa marehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakama itende na itoe haki ktk hizi kesi ,kwani kuna wengine walizipata kwa haki na kwa jasho lao na hata kwa urithi.
Dhulma huwa haingojei!!! muda wake ukifika huwa haijali nani ni nani na yuko wapi itakufuata tuu at a ukiwa marehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.