TISS hawakaguliwi kutokana na ukweli kwamba mambo yao yoote wanayoyafanya yanatakiwa kuwa siri, ila tatizo usiri huo unatumika vibaya sana, sidhani kama kuchukua Pesa kudhibiti upinzania ni Kazi ya usalama wa Taifa, sidhani kama kuchukua Pesa kulipa watu kwenye Ishu kama za Ulimboka na Kibanda...
Mama wasira ni mmoja wa Watanzania walio nufaika sana na utawala wa CCM kama walivyo akina Ritz , faizaFox , Simiyu Yetu lakini hawajataka kuendelea kuwa wanafiki wamejitambua.
Mimi nadhani faida ya pesa kutoka kwenye hizo stika mgawo wake unamfikia mpaka Rais haiwezekani uhuni kama huu unaendelea wazi wazi hakuna mtu anaye upigia kelele
Nayafahamu hayo maeneo na CDA wametoa juzi viwanja mbele ya hilo eneo nasikia mafisadi wamevinunua vyote japo bei zilikuwa za kukomoana, nashangaa sana kwanini wamepandisha sana bei ya kununua kiwanja na hata kodi ya kulipia kiwanja imepandishwa yaani kila sqm1 KODI NI Tshs50. wakati ilikuwa...
Polisi imekamata Polisi 16 kwa tuhuma za kushirikiana na maafisa wa TRA kukusanya ushuru kutoka kwa wafanya biashara wanaoingiza magendo kupitia bandari Bubu ya Mbweni, Kova amekataa kuyataja majina ya hao Polisi amedai uchunguzi bado unaendlea je? ni kwanini walikurupuka sana kulitaja jina la...
basi kuna siku moja nilikuwa nimechelewa sana kutoka ukumbumbi wa NSSF Waterfront kwenye harusi ya mdogo wangu, na nilikuwa narudi home Bunju mida ya saa tisa usiku nilikutana na Landcruser moja ya polisi ikisindikiza Loli tena lenye Tera wakiwa wanaingia vinjia vya mtaani usiku hule nikahisi tu...
11.Unagundua gari la thamani alilolitumia kukutana na wewe ameazima kwa mshikaji unayemfahamu kwa minajili ya kukuhadaa wewe ilihali wewe siyo materialist
Hizi ni habari mbaya ambazo Jeshi la polisi lisingependa zitoke hadharani kwamba Kamanda wa polisi mkoa kapigwa na kitu kinachosadikiwa kiriluka kutoka kwenye kitu kilichoelekezwa kwake usiku wa manane akiwa na mwanamke asiye mke wake, ndiyomaana waandishi waneirusha sana
Mimi wa hapahapa JF, mbona uanuliza maswali ya kitoto? hivi hujui kuandika kitu kukipost then kukifuata na kuki-delete ni ubabaishaji? yaani kiufupi unakuwa umeposti kitu kwa kukurupuka, kiongozi anayekurupuka ni hatari sana anaweza kufanya decision ya hovyo kuja kukumbuka kwamba kachemka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.