Njombe
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri amewaagiza maafisa tarafa kuwafungia biashara wafanyabiashara watakaobainika wamepandisha bei vitakasa mikono zikiwemo ndoo za maji katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya COVID-19.
Ametoa agizo hilo hii leo katika kikao...
Njombe
Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Njombe ikiongozwa na mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye ni mkuu wa wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri imelazimika kufanya kikao chake cha kawaida nje ya ofisi wakiwa wamesimama kwa kupeana nafasi takribani masaa mawili ili kutekeleza agizo la kuto kukaa...
Njombe
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza watoa huduma za baa na wamiliki wa maeneo ya starehe kufunga huduma hizo kwa kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19) ili kuepusha maambukizi na kuenea kwa virusi hivyo.
Ruth Msafiri ametoa agizo hilo mapema siku ya leo...
Njombe
Kutokana na tishio la ugonjwa wa Corona (COVID 19) unaeoendelea kuenea nchi nyingi Duniani huku Tanzania ikifikia wagonjwa 6 mpaka sasa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na waziri wa afya maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Ummy Mwalimu.
Katibu wa chama cha walimu Tanzania CWT mkoa wa...
Wananchi wa kitongoji cha Gongoti kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoa wa Njombe wameazimia kumfukuza Bi. Asteria Sanga ambaye alikuwa akiishi kijijini hapo wakimtuhumu kwa vitendo vya ushirikina
Maamuzi hayo yamefikiwa Februari 28, 2020 ikiwa zimepita takribani wiki mbili tangu wananchi wa...
RC Ole Sendeka awapa mwezi mmoja viongozi kuwatafuta wanafunzi 708
Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka ametoa muda wa mwezi mmoja kwa watendaji, maafisa elimu kata pamoja na viongozi wa mitaa na vijiji kuhakikisha wanafunzi 708 ambao hawajajiunga na masomo ya kidato cha kwanza...
MAKAMBAKO
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza kukamatwa kwa walimu mkoani Njombe watakaobainika kuwafanyia vitendo vya kikatiki wanafunzi ili kukomesha vitendo hivyo vinavyoendelea kutoka nchini.
Hayo yamebainika leo Makambako mkoani Njombe wakati msafara wa kijinsia kutokomeza...
Mgumba:Tanzania ina utoshelevu wa chakula kwa zaidi ya asilimia 119
Njombe
Naibu waziri wa kilimo nchini Omary Mgumba amesema,Tanzania bado ina hali nzuri ya uwepo wa chakula kwa kuwa mpaka leo taifa lina utoshelevu wa chakula kwa zaidi ya asilimia 119.
Mgumba ametoa taarifa hiyo mkoani...
Mahakama ya wilaya ya Njombe imemhukumu mwalimu Focus Mbilinyi aliyekuwa akifundisha shule ya msingi Madeke hapo awali kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya shilingi milioni kumi baada ya kumkuta na hatia ya kumpiga mwanafunzi wake na kumsababishia ulemavu wa kudumu.
Hukumu...
Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa ameagiza kuwekwa kizuizini Msimamizi wa Ujenzi wa Mradi wa Maji wa Igando Kijombe unaotekelezwa na kampuni ya STC JV YELL LMT Wilayani Wanging'ombe Mkoani Njombe Erick Mlema kwa kushindwa kukamilisha mradi kwa wakati.
Waziri Mbarawa amesema mpaka sasa mradi...
Martin Nyigu (35) mkazi wa Kijiji cha Lusitu, Kata ya Luponde, Halmashauri ya Mji wa Njombe, Mkoani Njombe amefariki dunia kwa kupigwa na radi leo majira ya saa 9 alasiri akiwa ananyoa nywele saluni huku kinyozi na wateja waliokuwa wanasubiri huduma wakiwa salama.
Diwani wa kata ya Luponde...
KWAKO NDUGU RUTH MSAFIRI, MKUU WA WILAYA YA NJOMBE
Salaam.
Nichukue nafasi hii kutoa masikitiko yangu kwako kwa kitendo chako cha kuamuru kuondolewa kwa Bendera zetu na kuzichana kwenye halmashauri ya Mji Mdogo wa Makambako kwa madai KUWA Bendera zetu ni takataka.
Huu ni ushamba wa...
Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimewaelekeza makatibu wa siasa na uenezi ngazi ya kata na wilaya zote mkoani humo, kuhakikisha wanaieleza jamii shughuli za maendeleo zinazoendelea kwenye maeneo yao ikiwa na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya chama.
Wito huo umetolewa na katibu wa siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.