Search results

  1. Lyamungo

    Picha ya leo

    Good looking!
  2. Lyamungo

    Majambazi wapora mamilioni Moshi - baada ya wateja kuzichukua standard chartered

    Hiyo ni dili mahsusi kwa sababu walijuaje watatokea uhuru park na sio huku KCB? wamecheza vema
  3. Lyamungo

    Ufoo saro aanika kila kitu juu ya sakata lake

    mbona hasemi kuhusu nyumba alomdhulumu mushi na vyombo kibao vya kuanzisha studio, bado hela walizomtapeli kushirikiana na mama yake? akifinywa atasema ukweli tu.
  4. Lyamungo

    Hii ni nyumba ya nani? Hapo ni mahali gani jamani?

    ubaya mmoja mpangaji hatulii humo
  5. Lyamungo

    Pinda atekeleza maagizo ya Lowassa, aunda tume kuchunguza sababu ya kidato cha nne kufeli

    Nimeshangazwa na kuundwa kwa tume ya kuchunguza matokeo, naona ni matumizi mabaya ya hela bila umuhimu wowote, nasema hivyo kwa sababu haihitaji usomi kujua matatizo yanayoizonga tasnia hii ya elimu. Baadhi ya matatizo hayo ni:- 1. Wanafunzi kutozingatia masomo na badala yake kuvipa vitu vingine...
  6. Lyamungo

    "serikali sikivu"

    Kwa hili la gesi nimejifunza yafuatayo:- 1. Serikali inapenda kuburuza wananchi wake 2. Serikali inafanya maamuzi sahihi pale tu inaposhinikizwa 3. Wadanganyika wameanza kuamka kwenye "usingizi wa pono" 4. Kuna mikataba mingi tu ambayo wawekezaji wameshinikiza iwe ilivyo huku maslahi ya wazawa...
  7. Lyamungo

    Miaka 51 ya uhuru wa Tanganyika

    Miaka 51 ya uhuru! Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele. Je umewahi kufikiria tumethubutu kufanya nini? Tumeweza nini? Na tunasonga mbele kwenda wapi? 1. Miaka 30 ilopita tulikuwa na viwanda leo ni kama hatuna(tunasonga mbele) 2. Kumshtaki fisadi wa mabilioni na kumhukumu kifungo miaka...
  8. Lyamungo

    Tunaipeleka wapi elimu yetu ya Tanzania??

    Kumekuwa na tabia ya wanasiasa walioko kwenye nafasi zao kama mawaziri kufanya mabadiliko yasioyokuwa na kichwa wala miguu kwenye tasnia muhimu kama elimu bila kuwashirikisha wadau au kujali madhara yake, mfano wa mabadiliko hayo ni:- 1. Kubadili mihula ya A- Level kama homa za vipindi...
  9. Lyamungo

    Waziri wa elimu sadia hapa......

    Mkuu wa shule hawezi kumfukuza mwalimu maana hajamwajiri yeye, kama mkurugenzi kakubali kumfukuza mwalim kajiridhisha na makosa yake, hayo ni majungu.
  10. Lyamungo

    Waislamu Walioandamana waliomba kibali cha maandamano?

    Jana waislamu waliandamana kudai kuachiwa kwa wenzao walioshikiliwa kwa kukataa kuhesabiwa waachiwe, swali langu ni kuwa waliomba kibali? sensa ilikuwa imeisha?
  11. Lyamungo

    Ni kitu gani ungependa kiwepo kwenye katiba mpya?

    Toa maoni yako kwenye huu uzi kuhusu chochote ambacho ungependa kiwepo au kisiwepo kwenye katiba mpya ili tutakapokutana na Tume tutoe maoni yanayofananafanana.
  12. Lyamungo

    Mafunzo ya karate

    Tafuta mahali kuna msikiti huwa wanatoa hiyo huduma
  13. Lyamungo

    Mafunzo ya karate

    Tafuta mahali kuna msikiti huwa wanatoa hiyo huduma
  14. Lyamungo

    Uonevu uliokithiri shaaban robert secondari

    kwani ndo shule ya binafsi iliyopo tu? just quit!
  15. Lyamungo

    Ina maana madaktari walisema uongo?

    JK katika 'mhadhara' wake kwa 'wazee' amedai kuwa hali ya afya si mbaya nchini na serikali imejitahidi sana kuboresha na mabo ni mazuri, ndo najiuliza Ina maana madaktari walikuwa wanadai uongo? Mbona viongozi wenyewe wakiugua hata kama ni malaria mfano Zito wanakimbizwa nje? Wodini kila mtu...
  16. Lyamungo

    Ajali ajali ajali inasikitisha

    hajafa mtu ila waliokuwa kwenye hilux ndo wameumia zaidi ya hao wa land cruiser, ni matokeo ya kotokufuata sheria za barabarani, matokeo yake wataweka matuta
Back
Top Bottom