Sidhani kama uko sahihi. Nahisi imekaa kwenye mlengo wa kumchafua Waziri ambaye amehudumu kwa muda mfupi kwenye hiyo nafasi! Mh. January hana ujuaji unaousema kwa muda mfupi aliopo kwenye MoE hajaonyesha hayo,ndio kwanza ametoa dira na matumaini ya kuanza upya
Wilaya ya Kyerwa ni moja ya Wilaya 6 za Mkoa wa Kagera,Makao makuu ya wilaya yapo kilomita 170 toka Bukoba Mjini,Ni Wilaya ambayo ina sifika kwa kilimo na ufugaji haswa mazao ya Ndizi,maharage,kahawa,Strawberry,mahindi kidogo.
Hali ya hewa ni mvua za muda mrefu,kipindi kifupi cha Jua.
Ni wilaya...
Punguzeni Ujuaji na kujifanya Mkoa wenu umeendelea kuliko Mikoa yote!Kwanza jiendelezeni kwa kuuza ardhi ili mpate mtaji wa kukiwamua!Unakutana na shamba Manispaa la Migomba kuubwa,ukiuliza eti hamuwez uza sbb mtakula ndizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.