Habari wakuu.
Tafadhari rejea kichwa cha mada.
Ninauza pikipiki yangu niliyokua natumia kwenda kazini yenye usajiri namba DEC bei Tsh 1,250,000 iko katika hali nzuri sana haijaguswa engine kabisa
Pia nina eneo langu la carwash lililo eneo potential ilibaki miezi mitatu ya kodi 2500per day, Kuna...
Natamani sana kupata rafiki anaejua kilimo kiundani na anefanya kilimo biashara ili nijifunze kwa mifano dhahiri baadae na mimi nifanye kilimo kisasa cheje tija
Aisee na mimi nimefikiria kama wewe na ninachofikiria huenda ni hadithi ya kufikirika. Hilo suala lilikua sio la kufikiria mara mbili bali au kuja kuuliza uliza hapa bali ni kuchukua maamuzi tuu kama msomi
Umeongea point ya msingi sanaa mkuu. Wanaume wengi ni wa hovyo sana suala la kutongoza. Mimi nilishakataaga kitambo sana upuuzi wa kutumia mda mrefu kumtongoza mwanamke. Yaani jibu la kwanza tuu linakupa picha inatosha haina haja ya kubembeleza sana kwasababu na wao pia wanahisia na wanapenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.