katika harakati zangu za pimbi leo cnikafongua website ya wanaojiita wakopeshaji nimekutana na upupu huu hapa; MAOMBI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA ELIMU YA JUU KATIKA AWAMU YA PILI (SECOND SELECTION) KATIKA MWAKA WA MASOMO 2011/2012 1.0 UTANGULIZI Kufuatia kutolewa kwa...
wanajavn habari za axubuhi, nilikuwa nnaomba msaada kwa m2 mwenye info. kuhusu loan allocatn kwa hawa vijana waliochaguliwa kwenye hyo 2nd round kama utakuwepo au la, na kama ni kwa watoto wa wakulima walio2piwa kwa 2ndround na hawana loan wala uwezo wa kujipigisha kitabu wafanyeje?!..., jibu...
.....Huko zimbambwe wajamen, kuna kampen kuwafanyia tohara a.k.a Circumsicion waheshimiwa wabunge ili kuweza kusaidia kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi, kampeni inayoendeshwa na taasis ya ukimwi ya nchi hyo!!...
yangu ndio hayo!...
....Maombi yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.