mm pia nitumia simu hiyo hiyo, nilishakuwa nashida hii. chakufanya nenda kwenye setting, na change APN; kwenye NAME: VODACOM, APN: internet , Port: 9401 , user name: vodacom, MCC: 640, MNC: 04, Authorification: none. Sehemu nyingine zipo empty.nathani itakua ni msaada kwako.
Jpili nimetawazwa kuwa HB wa mtaa bada ya kuwafunika mashalobaro kadhaa kwa pamba na mvuto. Ila kuhusu mapenzi ya kweli hapo nimefeli, mademu wakali wanjigonga vp nshnde mitego. Hebu niendelee na kuangali jukwa la tech, kila la heri . . .
Ok! Tunataka maendeleo ya sayansi na teknohama, changamoto ni kwa hao nafasi zao za kazi zinachukuliwa na mashine, serikali inachukua hatuwa zipi za kuwafeed hao ambao ni jobles watarajiwa ikiwa wasasa imewashinda? Au ni jeshi na ualimu ndio inajivunia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.